Milioni 200 inatosha nyumba na magari mawili?

1. Hali yake ya kifedha inamruhusu kufanya hayo bila kuathiri miradi yake. Ni ndoto yake ya miaka mingi kuwa na "kwake".

2. Gari binafsi litampa uhuru wa kusafiri. Huwezi kutegemea usafiri wa uma kwenye shughuli za machimboni.
 
Hivi inawezekana mtu mwenye 200m bank ashindwe kung'amua hizi basics?
No one knows everything! Binafsi, ninapotaka kitu cha gharama, naweza ninaomba ushauri watu kumi lakini najua mwisho wa siku Mimi ndiye nitakayewajibika kufanya maamuzi.

Mara tu nilipohitimu Chuo, nilishawahi kumshauri Mmiliki wa Kampuni jinsi ya kuendesha biashara yake kwa mafanikio makubwa ilhali mimi mwenyewe sikuwa na ajira. Nilikaa naye ofisini kwake nikawa naongea kama mtaalamu fulani hivi na akawa ananisikiliza. Alifurahia ushauri wangu na akanipeleka kupata lunch. Alitaka hata kumfanya Meneja kwenye mradi mpya aliokuwa alitaka kuuanzisha sema tu hakufanikiwa kuufungua.
 
Hapo fanya hivi before hajaacha kazi
1. Anunue either harrier take la nyani/ Mazda CX5 au Subaru forester 25-35Mil
2. Anunue Toyota hilux/ land cruiser Lx/ Ford Ranger au Nissan Nevara 55- 90mil
3. Inayobaki anunue nyumba
 
✅📌🔨
 
Sawa mkuu, naelewa.
 
Hizo hela kaokota? Au kashinda bet?
Milioni 200 halafu analeta discussion za kipuuzi. Mleta mada, muulize kwanza, huyo mtu anaijua mil 200 au anaisikia tu?
Mkuu, kuna watu ukikutana nao na ukaona maisha wanayoyaishi lakini baadaye ukabahatika kuona akaunti zao hutaamini!

Kuna watu wanaoweza kufanya mambo yao kimya kimya, na siku wakiamua kuyaweka wazi ndiyo wengine hukimbilia kusema ni wezi kumbe walianza kuwekeza kimya kimya miaka mingi.

Sitaki kutoa siri za watu, lakini kuna watu wa aina hiyo.

Milioni mia mbili si tatizo kwa ninayemzungumzia, lakini ukiambiwa ana miradi yenye thamani ya zaidi ya milioni mia tano hutaamini.
 
Sasa mbona ana uwezo mdogo sana wa kufikiri?
Basi na amuajiri mtu hapo awe anampa ushauri. Kama ana miradi ya zaidi ya mil 500 hivi kweli hajui kuhusu nyumba na magari?
 
Nimeamini somo la FEDHA ni gumu......
HUKO NI KUTUPA PESA.
 
anaomba ushauri mwingine wewe unaleta mambo ambayo hajaomba ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…