Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Huyo binti ana laana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Dem wako ni kiazi mkuuMimi sijakataa Pesa.
Nielewe, Kwan unadhan Sina mademu wa pemben?? .
Angesema basi kua anauza nijue?.
Na aseme hiyo yake mpaka iuzwe 3M Ina Dhahabu??
Lkn km alitaka Mkopo tu basi
Inshu ni hiyo "Nipe ,ibaki wewe tunaenjoy"....... Yaan kaona Mimi Boys sana kwamba nikisikia K napaparika?.
Hivi 3 M unaiongelea kama Buku mbili au??
Basi amini nakuambia, hata Celebs wetu wakike hapa Bongo, hawatiwi Kwa hiyo Hela !!!
Pisi Kali za kitaa huwa zinaangukia pabaya sana.[emoji2]Kuna wana wanajua kuigiza na kupanga scripts za kila scene za matukio yao na hawashtukiwi, kuna wengine wana tia mpaka mimba demu akija kushtuka na kumjua jamaa kipato chake tayari mimba ina miezi mitano.
Kuna pisi mbili zilikuwa kali mtaani pale,enzi zao zilikuwa zinarudishwa na ndinga kali za kila aina,mwisho wa siku wote walizalishwa na waendesha bajaj kudadadeki.
Kwaiyo alipie kodi ya mwaka mzima pamoja na tozo, sasa mkuu ndani ya mwaka kwa mfano mwamke akiondoka kwenda nchi za nchi itakuwaje?Hujaelewa iyo million 3 kifurushi iko unlimited unamla mwaka mzima [emoji28][emoji28][emoji28]hujajiongeza kishkaji sema kuitoa kwa mkupuo parefu mwanangu toa ule mambo mwaka mzima .
Kajisahaulish😂😂😂😂😂😂Bro si wewe Uliyeanza kudai wanawake watuhonge na sisi
Bado bajeti kubwa sana hiyoNenda kamgonge andaa 150k tu 50k room 50k chakula na vinywaji , then 50k mpe baada ya show Kali , then muahidi hiyo ml 3 utakuja kumpa baada ya siku 3 .. Baada ya hapo mkiondoka mpige tofali [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna mtoto wa mamdogo, yupo kipindi yupo advance story zake zilikiwa wanaume wale wenye hela kwake ndio wa maana kwake.Pisi Kali za kitaa huwa zinaangukia pabaya sana.[emoji2]
Akifa au nikifa?!Hujaelewa iyo million 3 kifurushi iko unlimited unamla mwaka mzima [emoji28][emoji28][emoji28]hujajiongeza kishkaji sema kuitoa kwa mkupuo parefu mwanangu toa ule mambo mwaka mzima .
Ila ajiandae kula na Wanaume wenzie...! na pia akubali pia kunyimwa mara zingine na apewe mwingineHujaelewa iyo million 3 kifurushi iko unlimited unamla mwaka mzima [emoji28][emoji28][emoji28]hujajiongeza kishkaji sema kuitoa kwa mkupuo parefu mwanangu toa ule mambo mwaka mzima .
Na wewe msukumaHuyu Bidada niliwah fika Ofisi kwake nilikua nahitaji huduma Fulani ivi.
Nilivutiwa naye yaan ni ile Tamaa tu kuona ni jeupe jeupe Nene limejaa mahips matako n.k.
Alinipea namba ila kwenye kumuomba Mzigo akawa mgumu, alafu madharau mengi sana Sijui na kunichukulia poaaa
Unajua Binafsi huwa sitaki kua kama nanunua, Huwa napenda nimjali mwanamke Kwa Msukumo wa Moyo wangu sio sababu ana K !! Ndio kama K si zipo nyingi yanini Sasa habari za 'fanya hivi fanya vile, aaa bwanaa wewe wengine kamba zetu zinatukutanisha na PISI/VISU mamia Kwa mamia na Kila siku !.
Tuyaache hayo, Siku Kadhaa mbele ndo akapata kunijua Jua hivi naona Sasa akahisi kumuhitaji ndio sehem ya yeye kunipiga......Basi Jana mida ya saa 10 Huyu Bidada Jana anarudia kosa lilelile, " et Nimkopeshe Milioni 3 za kitanzania jamani, kwamba nikishampa ndio naye anipe mbunye yake " hiiiiiiiiiiiiii Nkoiiii !!!
View attachment 2316571
Wee yaan 3M kisa K , sibora mtu anaingia Kwa makubaliano mengine ? Hahaha
Yaan 3M kisa K ?? K ?? Uwiii Mimi sio Bachela nahata kama ningekua Bachela, Mimi sijafikia hatua ya kutoa Pesa Et ndio nipewe K .
Haaaaa Bora kama angekua anauza, ningeenda Moja Kwa Moja kwenye 'Bei', ila Mimi mwenyewe nikutongoze, maana yake nimeamua Kwa Dhamira yangu, wee badala ya kuacha Nikupe Mimi Hela, anataka kulazimisha nitoe Hela kisa mbunye ??.
View attachment 2316568
Alafu nyie Wanawake sikilizeni na heshimuni sana watu , acheni dharau na mbwembwe , Sio mpaka uone mtu ana ndinga ndo uheshimu .yaan Kwa akili ya chekechekea tu Hivi mtu kama Mimi kama siendeshi Gari, Huoni ni maamuzi yangu tu kwamba Pesa yangu Kuna Mahali nimeielekeza ??!!. Haya mambo ya kuheshim watu kisa mnaona wanavitu, matokeo yake "Mmelika Bure sababu jamaa mjini wanaadhima ndinga hawana Hela sana sana atakununulia Pombe na Kitimoto ;!!!!".
unakuta demu anakuchukulia poaaaa kisa unendesha Boxer , baadae akishakujua vizuri kwamba wewe nani, una nn, na nn ,ndo anaanza kukuzoea Kwa speed ya 6G .....
et unakuta Manzi una namba yake naye anayako, huenda unamsalimia lkn anauchuna au yeye tu Salam hamna, alafu Kesho na kesho kutwa anapigwa na kitu kizito kinachohitaji Pesa, hapo ndipo anakumbuka Kuna Boyaa anaitwa Carlos The Jackal hiiiiiiii Nkoiii wasukuma tumeongoza Nchi Kwa miaka 5 !!. Na Si tu KUONGOZA Bali tulitoa Uongozi ambao utaendelea kua Kumbukumbu Kwa vizazi na vizazi hapa Nchini kama uongozi Bora na wakuigwa !!.
Dah nimesikitika Sana as if nimeombwa mimi hawa wanawake sijui wanashida ganiMkuu , Baada ya kunichukulia poaaaa ,nilitemana naye..
Hakutaka hata salamu Wala nn ....
Ndo Jana kunitafuta ghafla.
Labda niseme hivi, huyu Manzi Mama yake aliugua ,bahati mbaya akaja kulazwa Hosp napofanya Mimi.
So Manzi ndo kunijulia hapo na pia Kuna vigharamagharama Fulani ivi nikawa navicover kimtindo Kwa ajili ya Mama yake.
Wakatolewa bado akaendelea kua kimya ,namm nikawa nipo kimyaa.
Sasa Jana sms yakwanza baada ya Salam nihiyo .
Wee unafanyaje ??...yaan chukulia mfano, una jamaa ni mwanao, hamuwasiliani hata , alafu baada ya miezi anakutafuta Kwa sms yakwanza tu "Hela".
Unajua watu wengi wanafel sehem ndogo, hawajui kulinda Mahusiano, nadhani TUNACHUKULIANA POA POA SANAAA MPAKA SHIDA IKUKAMATE NDIO UNAONA UMUHIMU WA MTU
🤣🤣🤣 Kajizima data Bora ulivyomdakaBro si wewe Uliyeanza kudai wanawake watuhonge na sisi
Pole kiongozi, ila wanawake huendekeza sana dhiki na kukomoana.Huyu Bidada niliwah fika Ofisi kwake nilikua nahitaji huduma Fulani ivi.
Nilivutiwa naye yaan ni ile Tamaa tu kuona ni jeupe jeupe Nene limejaa mahips matako n.k.
Alinipea namba ila kwenye kumuomba Mzigo akawa mgumu, alafu madharau mengi sana Sijui na kunichukulia poaaa
Unajua Binafsi huwa sitaki kua kama nanunua, Huwa napenda nimjali mwanamke Kwa Msukumo wa Moyo wangu sio sababu ana K !! Ndio kama K si zipo nyingi yanini Sasa habari za 'fanya hivi fanya vile, aaa bwanaa wewe wengine kamba zetu zinatukutanisha na PISI/VISU mamia Kwa mamia na Kila siku !.
Tuyaache hayo, Siku Kadhaa mbele ndo akapata kunijua Jua hivi naona Sasa akahisi kumuhitaji ndio sehem ya yeye kunipiga......Basi Jana mida ya saa 10 Huyu Bidada Jana anarudia kosa lilelile, " et Nimkopeshe Milioni 3 za kitanzania jamani, kwamba nikishampa ndio naye anipe mbunye yake " hiiiiiiiiiiiiii Nkoiiii !!!
View attachment 2316571
Wee yaan 3M kisa K , sibora mtu anaingia Kwa makubaliano mengine ? Hahaha
Yaan 3M kisa K ?? K ?? Uwiii Mimi sio Bachela nahata kama ningekua Bachela, Mimi sijafikia hatua ya kutoa Pesa Et ndio nipewe K .
Haaaaa Bora kama angekua anauza, ningeenda Moja Kwa Moja kwenye 'Bei', ila Mimi mwenyewe nikutongoze, maana yake nimeamua Kwa Dhamira yangu, wee badala ya kuacha Nikupe Mimi Hela, anataka kulazimisha nitoe Hela kisa mbunye ??.
View attachment 2316568
Alafu nyie Wanawake sikilizeni na heshimuni sana watu , acheni dharau na mbwembwe , Sio mpaka uone mtu ana ndinga ndo uheshimu .yaan Kwa akili ya chekechekea tu Hivi mtu kama Mimi kama siendeshi Gari, Huoni ni maamuzi yangu tu kwamba Pesa yangu Kuna Mahali nimeielekeza ??!!. Haya mambo ya kuheshim watu kisa mnaona wanavitu, matokeo yake "Mmelika Bure sababu jamaa mjini wanaadhima ndinga hawana Hela sana sana atakununulia Pombe na Kitimoto ;!!!!".
unakuta demu anakuchukulia poaaaa kisa unendesha Boxer , baadae akishakujua vizuri kwamba wewe nani, una nn, na nn ,ndo anaanza kukuzoea Kwa speed ya 6G .....
et unakuta Manzi una namba yake naye anayako, huenda unamsalimia lkn anauchuna au yeye tu Salam hamna, alafu Kesho na kesho kutwa anapigwa na kitu kizito kinachohitaji Pesa, hapo ndipo anakumbuka Kuna Boyaa anaitwa Carlos The Jackal hiiiiiiii Nkoiii wasukuma tumeongoza Nchi Kwa miaka 5 !!. Na Si tu KUONGOZA Bali tulitoa Uongozi ambao utaendelea kua Kumbukumbu Kwa vizazi na vizazi hapa Nchini kama uongozi Bora na wakuigwa !!.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hawa wanawake embu wawe siriaz na hii laifu aiseePole kiongozi, ila wanawake huendekeza sana dhiki na kukomoana.
Jana nimekutana na mama mmoja. Single mother. Basi nikamtupia mawili matatu. Akasema ana haraka nimpe namba ya simu. Nikajua mambo safi.
Usiku saa 2.30 hivi mara text. Nani? Ni mimi uliyenipa namba mahali fulani.
Story zikaendelea. Leo ananiambia kabla hajavua pichu nimpe laki 3.
Jinga na nusu wewe, laki tatu inakisha familia yangu mwezi mzima.
Nimem block.
Niko poa za siku?Habari yako
Lkn wewe?Niko poa za siku?
Nimefanyaje tenaLkn wewe?
[emoji23][emoji23][emoji23]pole kiongoziAise usinikumbishe majanga yangu ya laki tatu....mwanamke mshezi kweli yule[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Alafu hawa warembo wanadhani pesa tunachuma tuu.