Milioni 50 nihamie Dar Kariakoo kibiashara au kwenda China

Milioni 50 nihamie Dar Kariakoo kibiashara au kwenda China

Ukitaka kutoboa bongo achana na biashara za imports ni risk maana faida mnagawana na TRA most times cha kufanya nenda china katafute mashine njoo bongo tafuta nyumba ya production weka mashine ndani fyatua bidhaa zako ingiza sokoni utanishukuru baadae mimi nafyatua vitu vyangu sina stress kabisa na TRA najipigia faida nayotaka. Utajiri ni kuwa na kiwanda/viwanda kiwe kidogo au kikubwa ni utajiri.
 
Ukitaka kutoboa bongo achana na biashara za imports ni risk maana faida mnagawana na TRA most times cha kufanya nenda china katafute mashine njoo bongo tafuta nyumba ya production weka mashine ndani fyatua bidhaa zako ingiza sokoni utanishukuru baadae mimi nafyatua vitu vyangu sina stress kabisa na TRA najipigia faida nayotaka. Utajiri ni kuwa na kiwanda/viwanda kiwe kidogo au kikubwa ni utajiri.
Mfano wa kiwanda cha bidhaa gan mkuu
 
Ukitaka kutoboa bongo achana na biashara za imports ni risk maana faida mnagawana na TRA most times cha kufanya nenda china katafute mashine njoo bongo tafuta nyumba ya production weka mashine ndani fyatua bidhaa zako ingiza sokoni utanishukuru baadae mimi nafyatua vitu vyangu sina stress kabisa na TRA najipigia faida nayotaka. Utajiri ni kuwa na kiwanda/viwanda kiwe kidogo au kikubwa ni utajiri.
Unafyatua zako wanakuja OSHA wanasema mazingira hatarishi kwa wafanyakazi na majirani, manispaa wanasema huna kibali kugeuza nyumba ya kuishi kuwa kiwanda, polisi wanasema unahatarisha raia wamepokea malalamiko, TANESCO wanasema umeunga nyaya hovyo.

Unaambiwa una kiwanda bubu kihamishe au tafuta vibali. Taasisi kibao na idara za serikali wanaanza kuzunguka kwa zamu hapo kila muda uwahonge. Na hapo hujachakata vyakula au vipodozi. Sio kitu rahisi watu wajipange kukwepa hiyo mishale alafu waingie.
 
Wakuu Hali nilipo kibiashara ningumu nataka Toka mkoani kuhamia kibiashara kariakoo au niagize bidhaa china nikiwa dar vip kunakutoboa kweli
Kama uko mkoani bila kuwa na mentor wa kuaminika kabisa Kariakoo (mzoefu wa kazi hiyo na mwenye upendo juu yako) utateseka sana.
Wakinga ndio maana wakija mjini wanaigana biashara sababu ndio wanaweza elekezana, kuna jamaa nilikuwa nafanya naye kazi Kariakoo sasa Jumapili moja hakufungua nikaenda bila kumwambia.
Nikampigia simu akanielekeza duka la pembeni yule mzee jirani hata huwa sioni wanaongea sana na wanafanya biashara ileile nilijua ni washindani na labda hawapendani, kumbe ni mtu na mjomba wake na ndio alimleta kutoka Njombe akampa flemu na kumfundisha kazi.

Ukienda Kariakoo hata leo flemu unapata baadhi ya mitaa. Ziliwahi pangishwa, watu walishindwa biashara au kodi. Ni sehemu uende na customer base yako na uongeze wapita njia. Ukienda kuanza kabisaa na mjini mgeni alafu una bidhaa za kawaida kama wengine itakuwa vigumu sana kwako.

Na sidhani kama ni sahihi kudumbukiza 50M yote ulonayo kwenye biashara eneo jipya kwako.
 
Unafyatua zako wanakuja OSHA wanasema mazingira hatarishi kwa wafanyakazi na majirani, manispaa wanasema huna kibali kugeuza nyumba ya kuishi kuwa kiwanda, polisi wanasema unahatarisha raia wamepokea malalamiko, TANESCO wanasema umeunga nyaya hovyo.

Unaambiwa una kiwanda bubu kihamishe au tafuta vibali. Taasisi kibao na idara za serikali wanaanza kuzunguza kwa zamu hapo kila muda uwahonge. Na hapo hujachakata vyakula au vipodozi. Sio kitu rahisi watu wajipange kukwepa hiyo mishale alafu waingie.
Utajiri ni Siri achana na hizo sauti za hofu mkuu umaskini ni matokeo ya kushindwa vita yake. Kwaheri
 
Ukitaka kutoboa bongo achana na biashara za imports ni risk maana faida mnagawana na TRA most times cha kufanya nenda china katafute mashine njoo bongo tafuta nyumba ya production weka mashine ndani fyatua bidhaa zako ingiza sokoni utanishukuru baadae mimi nafyatua vitu vyangu sina stress kabisa na TRA najipigia faida nayotaka. Utajiri ni kuwa na kiwanda/viwanda kiwe kidogo au kikubwa ni utajiri.
Viwanda vidogo vidogo kama vip hivo au mashine zipi zakwenda kununua china
 
Ukitaka kutoboa bongo achana na biashara za imports ni risk maana faida mnagawana na TRA most times cha kufanya nenda china katafute mashine njoo bongo tafuta nyumba ya production weka mashine ndani fyatua bidhaa zako ingiza sokoni utanishukuru baadae mimi nafyatua vitu vyangu sina stress kabisa na TRA najipigia faida nayotaka. Utajiri ni kuwa na kiwanda/viwanda kiwe kidogo au kikubwa ni utajiri.
Nikweli usemacho maana Kuna jamaa namjia alikua anafanya biashara ya hardware kariakoo akaacha akaingia china akachukua mashine za kutengenezea hardtape hizo tape zakugundishia mabox,viroba aisee anapiga pesa balaaa..tape zake zimezagaa nchi nchi nzima
 
Back
Top Bottom