Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bakiiuliooobanaa kha huogopi hataa hizi kelele zinazoendelea karibu kama umejipangaWakuu Hali nilipo kibiashara ningumu nataka Toka mkoani kuhamia kibiashara kariakoo au niagize bidhaa china nikiwa dar vip kunakutoboa kweli
Hawapulizani...mmh nilienda mtwara nkapiga biashara moja na mtu akakamatwa na kadada aisee kila nikianza kumlalamikia sikuelewi yule mdada ananiangalia vbaya usiku naota nafanya mapenzi na mwanamke asbh hoi....yakanishinda
Hakuna mkuu, dar unapiga wapi mana kuna bos wangu anataka frem maeneo yaliyochangamkaHawapulizani...mmh nilienda mtwara nkapiga biashara moja na mtu akakamatwa na kadada aisee kila nikianza kumlalamikia sikuelewi yule mdada ananiangalia vbaya usiku naota nafanya mapenzi na mwanamke asbh hoi....yakanishinda
Nimefika dar safi kabisa
Mkuu kama uko serious na ungependa kuwekeza kwenye kilimo (horticulture) nicheki dm tufanye kaziWakuu Hali nilipo kibiashara ningumu nataka Toka mkoani kuhamia kibiashara kariakoo au niagize bidhaa china nikiwa dar vip kunakutoboa kweli
Ukitaka kutoboa bongo achana na biashara za imports ni risk maana faida mnagawana na TRA most times cha kufanya nenda china katafute mashine njoo bongo tafuta nyumba ya production weka mashine ndani fyatua bidhaa zako ingiza sokoni utanishukuru baadae mimi nafyatua vitu vyangu sina stress kabisa na TRA najipigia faida nayotaka. Utajiri ni kuwa na kiwanda/viwanda kiwe kidogo au kikubwa ni utajiri.
Mkuu tuorodheshee mfano wa bidhaa tunaweza zalishaUkitaka kutoboa bongo achana na biashara za imports ni risk maana faida mnagawana na TRA most times cha kufanya nenda china katafute mashine njoo bongo tafuta nyumba ya production weka mashine ndani fyatua bidhaa zako ingiza sokoni utanishukuru baadae mimi nafyatua vitu vyangu sina stress kabisa na TRA najipigia faida nayotaka. Utajiri ni kuwa na kiwanda/viwanda kiwe kidogo au kikubwa ni utajiri.
Mimi kama Genz ambaye natarajia kuja kufanya biashara from 5yrs to go nimejifunza manufacturing industry ina pesa, kikubwa ujue demand ya eneo ulipo.
Hili swali kujibu wameshindwa kabisa wamekalia tu manufacturing industry inalipa ... maybe jaribu kuzalisha misumari ankooUko sahihi kabisa, ni bidhaa ipi ambayo ikizalishwa bado ina soko kubwa kwa Tanganyika hii?