Milioni 50 nihamie Dar Kariakoo kibiashara au kwenda China

Vipi kuhusu raw materials? Nadhani kuna ambazo utatutoa nje ya nchi pia. TRA bado unao tu. Labda kwa baadhi ya bidhaa ambazo raw materials ni za hapahapa nchini.
 
mashine gani ukiwa nazo hapa tz kutoka kwa mzee wa madungu ya uingereza KC, unaweza zalisha bidhaa
 
Safi sana mkuu wewe una akili sana utakuwa tajiri mkubwa sana nakuona..... hiyo ndo siri ya mafanikio.

I hope kama unafanya manufacturing utakuwa na uhitaji mkubwa wa kupata mikopo. (Ukifika hatua hiyo, wataalamu tupo, tutakuandalia documents zote za kupata mkopo)
 
Mashine gani mkuu unaona ina vibe poa kibongobongo ,sababu vijipombe vikali majina kama yote tayari.
 
Bonge la wazo . Mitaji sasa
 
Daaah balaa. Bongo Nyoso waswahili walisema🤣
 
Ujiandae nitakuja, ila vipi kwa anaye anza ?
 
Hili swali kujibu wameshindwa kabisa wamekalia tu manufacturing industry inalipa ... maybe jaribu kuzalisha misumari ankoo
Swali jepesi sana, bado tu hujawaza?, nikupe mfano fikiria hao aa china , japan wana produce nini na kutuletea ? Kwanini na sisi tu produce kwaajili yetu na kuwapelekea?.
 
Wakuu Hali nilipo kibiashara ni ngumu nataka toka mkoani kuhamia kibiashara Kariakoo au niagize bidhaa China
Nikiwa Dar vipi kuna kutoboa kweli?

Eti naouna huo kama ni mtaji mkubwa flan hiv? uko mkoa gani mkuu kwa sasa?
 
Mfano mtu ndo anataka aanzw project/biashara/kiwanda, na hana capital, anaweza kukopa au mpaka biashara iqw imesimama.
Sio lazima sana, hapo unaweza kukopeshwa kama start up business. Japo huwa inakuwa ngumu kwasababu startup ni biashara ambayo haina certainty ya kutengeneza mzunguko, ila kukiwa na business plan nzuri yenye assumptions za kueleweka halafu ukiwa na dhamana, inaweza kuwezekana kupata mkopo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…