Millard Ayo ana tatizo gani na habari za Upinzani?

Millard Ayo ana tatizo gani na habari za Upinzani?

Habari zenyewe ni za ku copy & paste wala siyo kusema ni habari za kiuchunguzi halafu Eti watu wanamuona hodari, uhodari uko wapi hapo sasa huko ku copy na ku paste ?! [emoji3526][emoji18][emoji18][emoji3526]
 
Huyo kijana ni miongoni mwa "WATAPIA TUMBO", anajifanya mjanja wa kukwepa lawama za TCRA, au pengine kaishapigiwa simu na Profesa Polepole asiandike chochote kuhusu upinzani...
Mwisho wa haya yote ni October ndugu. Wait and see. Watanzania wa sasa sio wa juzi. Wanaona yote na watatoa hukumu yao baada ya uchaguzi.
 
Kijana huyu baada ya kupata mafanikio kupitia sisi vijana, ghafla ameanza kujisahau. Zaidi ya 90% ya followers wake instagram pamoja na subscribers wake ni wafuasi kindakindaki wa CHADEMA na hilo analijua...
Badala ya kutafuna fedha za rudhuku. Basi muelekeze nguvu ktk kujenga ofisi zenu na kufungua vyombo vya habari,lakini so kutegemeaTanzania daina ya mbowe
 
Kijana huyu baada ya kupata mafanikio kupitia sisi vijana, ghafla ameanza kujisahau. Zaidi ya 90% ya followers wake instagram pamoja na subscribers wake ni wafuasi kindakindaki wa CHADEMA na hilo analijua...
Acha Ulimbukeni unadhani Tundu Lissu ana taarifa gani ya kuhabarisha Umma wa Watanzania zaidi ya taarifa za kuwasifia Wakenya na Wakoloni. Au unamlazimisha Miladayo naye awe Mtukuza wahujumu uchumi wa nchi yetu.
 
Kijana huyu baada ya kupata mafanikio kupitia sisi vijana, ghafla ameanza kujisahau. Zaidi ya 90% ya followers wake instagram pamoja na subscribers wake ni wafuasi kindakindaki wa CHADEMA na hilo analijua...

Watanzania wivu na chuki. Mtu katumia kipaji chake wewe unajifanya eti CHadema. Lini mtabadilika. Ok wewe Mfano Kama shida washabiki wa CHadema. Si anzisha account yako. Watakuja tu. Si kipaji sio muhimu. I really hate people like you. Wivu. Wivu na unafiki.
 
Huyo kijana ni miongoni mwa "WATAPIA TUMBO", anajifanya mjanja wa kukwepa lawama za TCRA, au pengine kaishapigiwa simu na Profesa Polepole asiandike chochote kuhusu upinzani...
Kama dogo Aslay Kuna Wimbo kauimba wa kusifia ccm mpaka nmemvua vyeo,kasifia kijinga sana
 
Kijana huyu baada ya kupata mafanikio kupitia sisi vijana, ghafla ameanza kujisahau. Zaidi ya 90% ya followers wake instagram pamoja na subscribers wake ni wafuasi kindakindaki wa CHADEMA na hilo analijua.

Katika video zinazohusu Siasa, kwa miaka yote zile zenye maudhui ya CHADEMA na viongozi wake ndio zimekuwa zikiongoza kwa views, hivyo tangia mwaka 2015 amewatumia vya kutosha wafuasi wa CHADEMA lakini kutokana na kujipendekeza leo kawapiga kapuni.

Haiingii akilini hata kidogo kurusha Live matangazo ya CCM katika kila hatua za chaguzi zao, Mkutano mkuu CCM, UVCCM, mpaka umoja wa wazazi, ikiwemo na matamko ya kipuuzi ya kina polepole, Jaji kaijage na mpwa wao Dr. Abbas vyote vimekuwa vikipata coverage ya kutosha, lakini leo hii hata kurusha habari za CHADEMA na tundu Lissu hakuna.

Hapa tunapoongea Millardayo hana habari kuwa CHADEMA na Lissu walikuwepo Singinda, Shelui, Igunga, kahama, Shinyanga na leo wapo Musoma. Mpaka leo habari iliyopo kwake ni ile ya Lissu kupokelewa JK Airpot. Hili halikubaliki hata kidogo, hata kujipendekeza basi ni lazima uwe na aibu.

Hujuma za Millardayo anazozifanya leo zina mwisho, Tukiamua kukupuuza utabakia huna dira, kawaulze TBC watakupa habari. Siku tukiamua kuja na petition ya kukupuuza ndio utajua maana ya nguvu ya umma.

Mimi nime mu-unfollow leo kwenye page yake ya instagram tukifanya hivyo wengi atapunguza followers hivyo kampuni zinazompa matangazo kama GSM zitapungua kutokana atakuwa Hana followers wengi.Tukumbuke hata Lemutuz alipunguza followers kwenye page yake ya instagram baada ya kuwa sana upande Bashite.sasaiv lemutuz amepauka Hana tena dili za matangazo.
IMG_1972.JPG
 
Kijana huyu baada ya kupata mafanikio kupitia sisi vijana, ghafla ameanza kujisahau. Zaidi ya 90% ya followers wake instagram pamoja na subscribers wake ni wafuasi kindakindaki wa CHADEMA na hilo analijua...
Iko siku mtamshukuru kwa kutofanya mnayotaka afanye. Lissu badala ya kukusanya saini za wadhamini, anafanya na mikutano ya kampeni kabla ya muda. Akiwekewa pingamizi ushahidi ni hizo video mnazoshinikiza Ayo azisambaze. Mnadhani Magufuli hana uwezo wa kutembea nchi nzima kukusanya hizo saini?
 
Kijana huyu baada ya kupata mafanikio kupitia sisi vijana, ghafla ameanza kujisahau. Zaidi ya 90% ya followers wake instagram pamoja na subscribers wake ni wafuasi kindakindaki wa CHADEMA na hilo analijua...
wana Chadema & ACT wote wam unfollow tu... as simple as that!
 
Kijana huyu baada ya kupata mafanikio kupitia sisi vijana, ghafla ameanza kujisahau. Zaidi ya 90% ya followers wake instagram pamoja na subscribers wake ni wafuasi kindakindaki wa CHADEMA na hilo analijua.
Acha kupangia watu maisha,Kama anakukera hamia kwa Malisa atakupa habari unazozitaka wewe
 
Kijana si mwanaharakati, anatazama maslahi yake kwa mapana, ebu anayeona millard anakosea aingie kazini ajazie pale alipokosa yeye. Kama BBC na DW wametimuliwa unataka Millard wamfanyeje au umesahau yaliyowapata wengine?

Ila na vyama pinzani miaka yote vinalalamika kuwa havipati jukwaa la usawa toka TV za ndani lakini hata hawajisumbui kuanzisha vyombo vyao vya habari hadi wamezidiwa mbinu na WCB kijana hata hajafika chuo kaona anabaniwa kwingine kaja na mbinu ya kuwa na chombo chake cha habari.
Tanzania daima lipo wapi?
 
Akipost vitu vya upinzani wananchi wanadis mno, Hata page ya Jf (instagram) aisee
Mpaka nahisi Upinzani upo sana Jf
 
Tanzania daima lipo wapi?
Kwahiyo mnataka na Millardayo afungiwe? Afe njaa? Anayelalamika kwanini asichukue hatua akafanya kile anachohisi millard hafanyi? Millard siyo mwanaharakati anatafuta kula pale alipo inabidi mwelewe tu.
 
Unamuonea bure, kwani wewe ni mgeni hapa bongo?
Hata picha huioni?

Unataka afunge biashara yake sababu ya kuridhisha kila mtu? Si afadhali abakiwe na hao wachache lakini abaki kwenye biashara?
Kweli aisee kila mtu aangalie maisha yake akifeli hakuna atakayemsaidia
 
Back
Top Bottom