game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 10,727
- 24,840
Congressman, The boys is doing Bussiness not politics,
Mbona hamna akili nyie?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hamna akili nyie?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Polepole ana taarifa gani ya kuuelimisha umma wa watanzania zaidi ya kulalamikia hati miliki ya TID?Acha Ulimbukeni unadhani Tundu Lissu ana taarifa gani ya kuhabarisha Umma wa Watanzania zaidi ya taarifa za kuwasifia Wakenya na Wakoloni. Au unamlazimisha Miladayo naye awe Mtukuza wahujumu uchumi wa nchi yetu.
Wewe ambae hujui hata tupo awamu ya ngapi pia unathubutu kuchangia? eti Magufuli Rais wa awamu ya sita tehe tehe teheeAcheni majungu, Millard kufika hapo alipofika ni msingi wa kujituma yeye mwenyewe binafsi. Ninyi CHADEMA mmemsaidia nini? Kum_follow? Sasa acheni ku_follow halafu muone Kama hataendelea kupata followers.
Rais wa awamu ya sita ni JPM, na kazi iliyoanzishwa lazima iendelee hakuna namna.