Millard Ayo ana tatizo gani na habari za Upinzani?

Millard Ayo ana tatizo gani na habari za Upinzani?

Njaa mbaya sana, hatakiwi kuwa biased kiasi hicho. Tenda haki kote kote bila kuegemea upande mmoja!
 
Acha Ulimbukeni unadhani Tundu Lissu ana taarifa gani ya kuhabarisha Umma wa Watanzania zaidi ya taarifa za kuwasifia Wakenya na Wakoloni. Au unamlazimisha Miladayo naye awe Mtukuza wahujumu uchumi wa nchi yetu.
Kwani Polepole ana taarifa gani ya kuuelimisha umma wa watanzania zaidi ya kulalamikia hati miliki ya TID?
 
Acheni majungu, Millard kufika hapo alipofika ni msingi wa kujituma yeye mwenyewe binafsi. Ninyi CHADEMA mmemsaidia nini? Kum_follow? Sasa acheni ku_follow halafu muone Kama hataendelea kupata followers.

Rais wa awamu ya sita ni JPM, na kazi iliyoanzishwa lazima iendelee hakuna namna.
Wewe ambae hujui hata tupo awamu ya ngapi pia unathubutu kuchangia? eti Magufuli Rais wa awamu ya sita tehe tehe tehee
 
Back
Top Bottom