Acheni majungu, Millard kufika hapo alipofika ni msingi wa kujituma yeye mwenyewe binafsi. Ninyi CHADEMA mmemsaidia nini? Kum_follow? Sasa acheni ku_follow halafu muone Kama hataendelea kupata followers.
Rais wa awamu ya sita ni JPM, na kazi iliyoanzishwa lazima iendelee hakuna namna.