Millard Ayo, mtangazaji tajiri zaidi Tanzania, analipwa Mil 50-80/month na Youtube

Millard Ayo, mtangazaji tajiri zaidi Tanzania, analipwa Mil 50-80/month na Youtube

Kama hamna uhakika msiwe mnakuja tudanganya hapa
Youtube hailipi kwa views au kwa idadi ya watu walio view content yako

Youtube wanalipa kwa matangazo yanayotokea kwenye video uliyoweka
Piga hesabu sasa ni matangazo mangapi ya youtube unayakuta kwenye video za millardi au diamond

Kwa ad views 1000 mtu hupata approximately 7.9 dollars ambazo hapo youtube wanakata 45pc wanaichukua wao
Ili upate angalau dollar 3000 watakiwa upate viewers watakao view ads kwenye video zako zaidi ya viewers milioni moja

Kuna youtube superstars wenye subscribers zaidi ya milioni wanaishia hicho ulichosema kuhusu diamond na hiyo ni hela ya mwaka mzima sio ya mwezi kama unavyotaka danganya watu
Kazi ya Millard ni nzuri but mnavyotaka kuaminisha watu ndio inazidi kufanya wabongo tuonekane wapumbavu kama sio wajinga. Ni bora tukikaa cha kuongea tunyamaze. Kukaa kimya nayo ni akili. Tuache kuongea mambo bila evidence. Tuache kupotosha. Tubadilike. Kila kitu now days kinapatikana Google. Kwa nini kupotosha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi ya Millard ni nzuri but mnavyotaka kuaminisha watu ndio inazidi kufanya wabongo tuonekane wapumbavu kama sio wajinga. Ni bora tukikaa cha kuongea tunyamaze. Kukaa kimya nayo ni akili. Tuache kuongea mambo bila evidence. Tuache kupotosha. Tubadilike. Kila kitu now days kinapatikana Google. Kwa nini kupotosha?

Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi sijapotosha mtu
Nimeongea kile ambacho kinafanyika
Youtube wanalipa endapo tangazo kwenye video yako litaangaliwa angalau kwa sekunde 30 tena utalipwa kwa views 1000 dollar 7 na point kadhaa hivi
Kwenye hayo malipo youtube anachukua 45pc ya malipo yako
Hivyo kwa millardi na diamond kutengeneza hizo hela ni uongo maana sidhani kama wana views za kutosha kiasi hicho
Na wao video zao nyingi hazina matangazo

Kama ingeangaliwa views tu
Justin Bieber angeongoza maana video zake nyingi zinasoma 1bil na kuendelea
 
Back
Top Bottom