Millard Ayo, mtangazaji tajiri zaidi Tanzania, analipwa Mil 50-80/month na Youtube

Millard Ayo, mtangazaji tajiri zaidi Tanzania, analipwa Mil 50-80/month na Youtube

Yaani Amewapita Presidential Appointee Wa Rais Maana Waliambiwa Mwisho Millions 15
 
Yaani habari unatoa wewe mwenyewe na kuthibitisha wewe mwenyewe, Milard mwenyewe ndiye alipaswa kusemea hili....hakika umetuona sie Madunya kweli kweli.

You tube haitoi pesa kirahisi hivyo ndugu usipotoshe uma, tena ukizingatia maudhui yaliyopo kwenye channel ni ya nyumbani (local content)...hivyo na Wafuatiliaji kwa 99% lazima watakuwa ni Wabongo..sasa ujiulize ni Wabongo wangapi watatumia muda na MB zao kuangalia tangazo mpaka mwisho...ili hali kuna option ya ku skip au kuondoa?

Pia kumbuka matangazo mengine ni ya kujirudia, sasa ni nani atasubiri aangalie dakika nzima ya kitu ambacho amekwisha kiona hapo kwenye You tube au kwenye TV.

Pesa rahisi anayopata ni kwa yale matangazo anayoambatisha moja kwa moja na video husika, coz mlipaji ni huyo mwenye tangazo na hapo google hawahusiki tena..mfano yale ya GSM.

Namkubali Milard na ningeunga mkono apate kadri inavyowezekana ila sio kuja na habari za kusadikika.

Ingawa kwa kuwa na Watazamaji wengi kunaongeza nafasi ya kupata...kwa mfano kama unaambulia dola moja kwa kila views 5000, ni wazi kuwa ukiwa na views milioni 1 si sawa na mwenye views elfu 50,000....na hapo ukumbuke unapata tu kwa zile video ulizo na haki miliki nazo...sio ilimradi ume upload video basi utavuna pesa.
 
naomba nione hiyo payment slip maana kutwa maneno maneno kama wahenga
 
Mimi sijapotosha mtu
Nimeongea kile ambacho kinafanyika
Youtube wanalipa endapo tangazo kwenye video yako litaangaliwa angalau kwa sekunde 30 tena utalipwa kwa views 1000 dollar 7 na point kadhaa hivi
Kwenye hayo malipo youtube anachukua 45pc ya malipo yako
Hivyo kwa millardi na diamond kutengeneza hizo hela ni uongo maana sidhani kama wana views za kutosha kiasi hicho
Na wao video zao nyingi hazina matangazo

Kama ingeangaliwa views tu
Justin Bieber angeongoza maana video zake nyingi zinasoma 1bil na kuendelea

Mkuu achana na hao Wapuuzi Sisi tumeshakuelewa. Ayo hana ubavu wa kulipwa hicho Kiwango na nakubaliana kwa 100% na ufafanuzi wako Kuntu uliotupatia.
 
Kwanza kabisa nikupe hongera Millard ayo kwa kazi nzuri unayofanya ya uandishi wa Habari. Wewe una kipaji kikubwa sana.

Presenter millard Ayo ndio anayetajwa kuwa mtu anayepokea royalities za You tube nyingi zaidi baada ya Diamond Platnumz katika nchi ya Tanzania, hii ni kutokana na viewers na subscribers wa channel zake ambapo kwa mwezi malipo yake huwa yana range mil 50 hadi 80 kutokana na idadi ya viewers, diamond anarange 80mil-130mil kwa mwezi.

Kwakweli nimpe hongera kwani ameajiri vijana wengi(zaidi ya 10) ktk online TV yake.
Vijana nawaasa muwe wabunifu kama millard na mtafanikiwa sana. Millard ayo tunatarajia kuona mambo zsidi kutoka kwako, ikiwezekana ufungue kituo cha radio na television kwani una mashabiki wengi.

Wengine wanaovuna mkwanja mkubwa you tube ni global tv, harmonize, rayvanny. Actually hata wasanii ambao sijawataja nao wanapata pesa nyingi tu.

Thanks
YouTube now awalipi kwa viewers but time watched and click per ads. Usidanganye watu......aaah just kidding kidogo.
Yaah ukiwa smart we say stay consistent, good quality content, use trending topic, stay creative U will earn YouTube money but sio easy you stay today and tomorrow you expect to receive something aaaah.
 
Back
Top Bottom