financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Mbona unajitetea sana mkuu😀😀 kwani Dar ina niniiHivi mimi hata kwa kuniona naweza kuwa hivyo kweli.??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unajitetea sana mkuu😀😀 kwani Dar ina niniiHivi mimi hata kwa kuniona naweza kuwa hivyo kweli.??
Watu wa mkoani mnaanza kutuogopa. Tusije kosa wake bure.😀Mbona unajitetea sana mkuu😀😀 kwani Dar ina ninii
leo umenifungua macho madame mi nilidhani level seat baada ya kugombea daladala ndo social distancing...basi condor alikuwa akizidisha hata mtu mmoja povu linanitoka asikwambie mtu...kumbe ulikuwa ni umbwea tu..Wakumbuke tu kuwa social distance si level seat kwenye daladala ni mita mbili kati ya mtu na mtu
le mubebe upo..nilidhani corona imekubambiaMbona unajitetea sana mkuu😀😀 kwani Dar ina ninii
😂leo umenifungua macho madame mi nilidhani level seat baada ya kugombea daladala ndo social distancing...basi condor alikuwa akizidisha hata mtu mmoja povu linanitoka asikwambie mtu...kumbe ulikuwa ni umbwea tu..
DarUbarikiwe dada mkubwa,
Umeshasema hajazaliwa wapi.??
Na mimi umenijumuisha kwenye hizo baraka?Dar
Aimenn, Tubarikiwe sote jamani dear
😀😀,na mtakosa kweli maana tutakua tunauliza unatokea wapi ?akisema Dar tu basi ameshaharibu🏃♀️Watu wa mkoani mnaanza kutuogopa. Tusije kosa wake bure.😀
Nipo dear namshukuru Mungu niko salama, naendelea kuchukua tahadhari, ila kuna muda naskia kama chafya hivi afu inarudi dah🙌le mubebe upo..nilidhani corona imekubambia
😂 😂
Wewe jitetee tu mdogo wangu ila naomba suala la kusimamia kucha libaki palepale..!!
wakiongozwa na juma lokole na hansy mtanashati[emoji23][emoji23][emoji23]Mnatudhalilisha sana. Wanaume wote tuliopo Dar tunaonekana hatuna maana.
Besti, mwanaume wa Dar atakuchafua tu, yani ile ndio imekaa vizuri unaiskilizia ikipenya " utaskia ,nakuja nakuja nakuja, haaaa" hapo hakuna hakuna tena anakwambia anawahi kikao
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaaaaaaah
Romours, Ayo ni msiri sana, huko anachapa tu na kupita
Et eeeeeh Basi sio vizuriRomours, Ayo ni msiri sana, huko anachapa tu na kupita
Kikao Cha harusi?Besti, mwanaume wa Dar atakuchafua tu, yani ile ndio imekaa vizuri unaiskilizia ikipenya " utaskia ,nakuja nakuja nakuja, haaaa" hapo hakuna hakuna tena anakwambia anawahi kikao