mwanaMtata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2014
- 2,393
- 1,433
Blogu yake inajiyegemea ila yeye anamilikiwa.Ile ni habar sio tangazo wewe, tofpautisha tangazo na kutoa habar ya yaliyojir. Millard anatakiwa asibague habar since hiyo blog inajitegemea.
Kwa io akishamilikiwa automatically na vyake vinamilikiwa.
Refer mfano nliotoa wa SBL na TBL ndo mambo ya mkataba hayo.