Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,057
- 10,367
Ni yeye uchovu wa kusukuma mtoto mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni yeye uchovu wa kusukuma mtoto mkuu
Mkuu huyo ndio yeye, yule uliyekuwa unamjua ni wa kiwandani, make up tu zile, hapo sasa ndio kila kitu halisi,
dah watu mnajua kukwaza !
Duuhh...Mungu amekosa waja!
Kuzaa ni adhabu aliyopewa mwanamke.
Utekelezaji wa adhabu hauambatani na sifa kwa mtoa adhabu.
Mungu kasema "ukazae uijaze dunia"
Sasa ukizaa kuna ajabu gani hapo!?
Na last yr alipata miscarrage..Amepigana sana huyu dada kumpata huyu mtoto . Mungu amtunzie kwakweli mtoto wake .
Sure watu wanaweza kuishi maisha yao japokuwa ni masuper star.Kama ni kweli, nampongeza sana kwa kuweza kuishi kipindi cha ujauzito wake kwa usiri..binafsi sikuwahi kusikia au kuona picha za tumbo lake kama wengine wanavyofanya. Mungu awatunze yeye na mwanawe.
Adhabu ambayo inaleta furaha mioyoni mwa wanadamu kuwa na mtoto ni furaha tosha si mwanamke tu hata mwanaumeMungu amekosa waja!
Kuzaa ni adhabu aliyopewa mwanamke.
Utekelezaji wa adhabu hauambatani na sifa kwa mtoa adhabu.