Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Tetesi zilikuwepo mbonaa....mbea wetu alishatuambia mudaaa... [emoji1] [emoji1] [emoji3] [emoji3] [emoji1]Marafiki zake wakisema hakuwa na mimba, uchunguz utaanzia hapo...
none of the above
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tetesi zilikuwepo mbonaa....mbea wetu alishatuambia mudaaa... [emoji1] [emoji1] [emoji3] [emoji3] [emoji1]Marafiki zake wakisema hakuwa na mimba, uchunguz utaanzia hapo...
Usiwaamini ma daktari wa tz,Ma Dr walikua waongo waliposema hatozaa
Mange alisemaga Kua Magesse ni mjamzito mbonaaa...!!!Sure watu wanaweza kuishi maisha yao japokuwa ni masuper star.
But Kaweka Jana video yake na tumbo lake alivyokuwa anaebda kujifungua huko Columbia.
no resrch no right to speak...google #Ooh! Samahani kwa maneno yangu makali.
Nayabatilisha rasmi.
Namshukuru Mungu kwa ajili yake (Happiness)
Nimejaribu kufuatilia interviwe zake za nyuma.... Na nilicho kiona leo, inakuwa vingumu kuamini... Labla nione picha kama za Zari au Linah ndiyo nitaamini... Mungu katenda miujizaTetesi zilikuwepo mbonaa....mbea wetu alishatuambia mudaaa... [emoji1] [emoji1] [emoji3] [emoji3] [emoji1]
none of the above
ni kweli kabisa happy amejifunguaKama ni kweli, nampongeza sana kwa kuweza kuishi kipindi cha ujauzito wake kwa usiri..binafsi sikuwahi kusikia au kuona picha za tumbo lake kama wengine wanavyofanya. Mungu awatunze yeye na mwanawe.
From researchers point of view.no resrch no right to speak...google #
endometriasis
Amehubiri sana kuwa hawezi kuzaa, leo anakuja na stori za kuzaaWatanzania wengi ni kama hawana akili, hata ukiwadanganya watajitokeza na kusema hongera, na kuna uwezekano mkubwa san akuwa huwa hawasomi kinacho andikwa kwenye makala husika ila baada ya kuona wenzao wanasifia na wao pia wanasifia.
Huyu mdada aliwahi sema kuwa hana uwezo wa kuzaa, na keshafanyiwa operations zaidi ya mara 3 kuhusiana na hilo tatizo.
Huyu atakuwa kapata mtoto kupitia surrogate mothers
Hata Mimi nakumbuka hiyoMange alisemaga Kua Magesse ni mjamzito mbonaaa...!!!
none of the above
Kumbe na wewe unahisi halafu unatukana wenzako wakati huna uhakika na kile unachohisi. Huoni kama unakuwa unaingia kwenye nafasi za juu kabisa za hao Watanzania wengi wasio na akili? Mtu kasema alikuwa na MIMBA na AMEZAA watu wanapongeza we umeng'ang'ana haiwezekani wewe ndio Mungu? Hayo ya surrogate mother yametamkwa wapi au ndio ulikuwa wewe?Watanzania wengi ni kama hawana akili, hata ukiwadanganya watajitokeza na kusema hongera, na kuna uwezekano mkubwa san akuwa huwa hawasomi kinacho andikwa kwenye makala husika ila baada ya kuona wenzao wanasifia na wao pia wanasifia.
Huyu mdada aliwahi sema kuwa hana uwezo wa kuzaa, na keshafanyiwa operations zaidi ya mara 3 kuhusiana na hilo tatizo.
Huyu atakuwa kapata mtoto kupitia surrogate mothers
Baada ya kuhangaika sana dada Millen magese ama zamani happiness magese na aliyewahi kuwa miss Tanzania, hatimaye mnamo tarehe 13 july 2017, 06:58 am amefanikiwa kupata mtoto wa kiume KAIRO MICHAEL MAGESE![]()
![]()
![]()
![]()
Ikumbukwe dada millen amehangaika sana lakini hakukata tamaa, nadhani watu wenye matatizo kama hayo msikate tamaa.....
Hongera Millen
Sent using Jamii Forums mobile app
SMH Psycho......From researchers point of view.
To me, only mouth can guarantee speech.