jike la simba
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 494
- 347
Alikuwa anajificha mtamuona muhongo kavaa liplastic!Kama ni kweli, nampongeza sana kwa kuweza kuishi kipindi cha ujauzito wake kwa usiri..binafsi sikuwahi kusikia au kuona picha za tumbo lake kama wengine wanavyofanya. Mungu awatunze yeye na mwanawe.
Maana kapata mtoto wengi wao wanaanza kupopoa mawe,eti achunguzwe labda kaiba[emoji15] [emoji15]