Priscilla priscon
Member
- May 12, 2018
- 57
- 53
- Thread starter
- #61
Sjawahi kutoa mimbaUmeuwa wangapi hadi leo? Katubu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sjawahi kutoa mimbaUmeuwa wangapi hadi leo? Katubu
Wewe mama yako angebadili neno ”ni” akaweka ”si” ungekuwa leo unashauri ujinga hapa?Badili neno ni weka si
Anajua sana ndo maana anakumbuka alivyomwagia ndani. Ila ni mjinga kuua jf kutuuliza.Hana ajualo Huyu
Ni wa kike mtoto wa kiume upatikana siku ya 14Hongera unamimba ya mtoto wa kiume,
Mrembo, kumbuka kumpelekea mwamba mara kwa mara apanue njiaHaya sawa sina namna kila mtu anaejua kuhesabu anasema wa kiume duu
Hivyo vipimo vinaitwaje mzeeNyie ndiyo mnatuangusha! Kama hutaki kupata mimba, kwanini usipime kwanza kabla ya kusex! Vipimo vipo pharmacy bei che, unapima kama ni danger days, mnatumia condom. Ovulation test
Acheni kutuangusha Vipimo hata vya gono vipo. Huu si wakati wa kulia lia. Sasa Nenda kanunue kipimo cha mimba uone kama umenasa ili uitoe mapema. Mambo yote yapo Pharmacy
oh yeah😋wa ku-sex Siku za hatari Mwanamke anakuwa anahisi raha muda wote.
Yaani nimejikuta nina wivu kupita kawaidaHabari zenu?
Nimevurugwa
Niliingia period tarehe 26 mwezi wa kwanza nikasex tarehe 7 mwezi wa pili na akamwagia ndani jamani sielewi imo au haimo?
Huenda hizi video zitasaidia katika tafakari na kupanua ufahamu.Niliingia period tarehe 26 mwezi wa kwanza nikasex tarehe 7 mwezi wa pili na akamwagia ndani jamani sielewi imo au haimo?
Kuna Sayansi Mwanaume akiongeza kidogo wakati huo anaweza kumfanya Mwanamke awehuke kabisa na kusahau Siku zake za hatari 😜oh yeah😋
Pole, hilo swali nilimuuliza yule aliyesema kutoa mimba si dhambi.Sjawahi kutoa mimba
📌✅Nani asiyependa Mwanae asome Shule nzuri na apate bima ya maisha pamoja na bima kubwa ya Afya.