Mimba imenasa?

Mimba imenasa?

Badili neno ni weka si
Wewe mama yako angebadili neno ”ni” akaweka ”si” ungekuwa leo unashauri ujinga hapa?

Na kwanini mnafanya uzinzi,ngono zembe mkiwa hamjajiandaa?
 
Alivyokua anakaribia kukojoa kwanini hukumsukuma ,au ulikua unamchochea unamwambia "cum baby"× 20 ...mamaeh...chezea kukaribia kukojoa wewe
 
Ubaya wa ku-sex Siku za hatari Mwanamke anakuwa anahisi raha muda wote.

Mnaweza mkakubaliana vizuri tu kuwa Wazungu niwamwagie nje, kwenye ile purukushani unakuta mwenzio amekubana na miguu na mikono yote hataki utoe

Baadaye ndiyo mrembo anakumbuka kuwa hazioni Siku zake🙌😜

Nani asiyependa Mwanae asome Shule nzuri na apate bima ya maisha pamoja na bima kubwa ya Afya.

Tuzae watoto tutakaoweza kuwatunza
 
Nyie ndiyo mnatuangusha! Kama hutaki kupata mimba, kwanini usipime kwanza kabla ya kusex! Vipimo vipo pharmacy bei che, unapima kama ni danger days, mnatumia condom. Ovulation test

Acheni kutuangusha Vipimo hata vya gono vipo. Huu si wakati wa kulia lia. Sasa Nenda kanunue kipimo cha mimba uone kama umenasa ili uitoe mapema. Mambo yote yapo Pharmacy
Hivyo vipimo vinaitwaje mzee
 
Ila kuna mambo mengine hua naona kama ni magumu sana...
Hivi kweli mtu unaleta mada ili tujadili matokeo ya starehe wakati unapigwa pipe...🤔
Ebu tusitiane nyege asubuhi saizi bana..🤨
 
Back
Top Bottom