Mimba ni kitega uchumi kwa mabinti wa sasa

Uko fact mkuu nilimuamini mapema sana ndo tatizo
 


Siku nyingine akikuambia ana mimba mwambie akukimbize
 
Mimba ya wiki mbili kaijuaje sasa? Hata test wanaambiwa wakafanye angalau wiki tatu baada ya game.

Ukiendelea na huo mchezo wa kupiga kavu, utapata unachokitafuta.
Wanaume wanaopigwa pesa kisa mimba wengi wao hawajui kitu kuhusu mimba.

Mimi baada ya attempt kadhaa za kunipiga kwa kigezo cha mimba nikapata akili ya kujifunza kidogo.

Na pia wanawake wengi pia hawajui pia mambo ya mimba, sasa akikukuta na wewe ni mbulula basi anakudanganya kiboya tu.
Siku 3 anasema ana mimba, na lijamaa linatuma pesa sijui ya kutoa, sijui ya matunzo ..
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Dah!!!
 
Yalishanikuta miye ,nikaamua kumpiga utasa mpaka leo hii hana mtoto.
 
Sio vizuri unaona unatania saivi ila baadae ndio mtu anakuja tafuta mke na hapati Kisa kachezea wote aliopewa na bwana
 
Bora huyo wenzio wanalazimishwa na ndoa kabisa
 
Yalishanikuta miye ,nikaamua kumpiga utasa mpaka leo hii hana mtoto.



Mhurumie,
Msamehe,
Mfungue ili azae.

Ili uponye vizazi vyako (wanao na wajukuu na vilembwe).

Sivyo watoto wako watapata shida kubwa sana.
 
Mbakutana na viburudisho vya wote.
 
Njaa zingine hizi kwahiyo hapo wanagawana kiasi gani?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚π™ƒπ™π™Š π™ˆπ™π˜Όπ™‰π™Š 𝙏𝙐 π™’π˜Ό π™†π™„π˜Όπ™Žπ™„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…