Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KaribuNashukuru sana mkuu kwa ushauri mzur
Mkuu, nadhan ni kuwakosea watu wa taaluma hiyo! Hakuna chuo kinachomfundisha hvyo Daktari. Tutofautishe tabia ya mtu mmoja mmoja na fani yakeKwanini kisu kwa watoto wote!?
Huyo mkeo ana tatizo gani kiafya linalofanya ajifungue kwa kisu nyakati zote?
Sasa hivi kuna mtindo umejitoleza wa akinamama kutokutaka kujifungua kwa njia ya kawaida.
Hali hiyo inahatarisha sana uhai wa mama haswa pale anapokutana na daktari asiye makini.
Fani ya udakitari siku hizi imevamiwa na wasaka shilingi wasiozingatia miiko ya kazi yenyewe.
Tuweni makini.
UsimtisheMimba tatu zote ni upasuaji na tayari ana mimba nyngn, hv mke na mume hamuogopi?
Mkuu..ni Nan aliekwambia hvyo?Mwanamke akijifungua kwa op anatakiwa akae miaka 3 bila kushika ujauzito
Mwaka 1 duh mshono utaachia, nyie wanaume waoneen huruma wake zenu
Mimba ya nne kwa nini kwanza?Wakuu habari za jioni, kama kichwa cha habari kinavyojieleza, kuna mama ni mjamzito kwa sasa ana watoto watatu lakini ametoka kujifungua mwaka umepita mtoto wa mwisho na uzao wote ni kisu. Sasa swali langu uyu mama alitoka kujifungua mwaka jana na sasa ni mwaka tu umepita sasa sijui niseme bahati mbaya amepata mimba nyingine.
Swali langu kwenu vipi kama akihamua kujifungua je kuna madhara ya kiafya atapata ambayo yatagharimu uhai wake? Au atoe tu huu ujauzito?
Naomba ushauri wenu najua hapa kuna madaktari mbalimbali wenge kujua mambo ya afya.
Karibuni kwa mchango.
Unatakiwa uanze kwenda clinic mara tu unapojihisi ni mjamzito mapema iwezekanavyoSawa mkuu, ni mwezi gani ambao ni vizuri akaanza kwenda kuanza clinic??
Huo muongozo umetolewa na nan na linAanze kwenye mwezi wa tatu (wiki ya 12) akichelewa sana mwezi wa nne.
Hatari zaidi maana ndo unahatarisha kuchanika kwa mfuko wa uzazi kama ukitumia dawa kutoa mimbaNilikuwa nawaza atoe mkuu ndio mana nikasema nililete hapa kwa wataalamu ili nipate ushauri juu ya ili suala mana hii wiki sikuwa na amani kabisa yani mawazo mengi sana mkuu acha tu
Hakikisha unafanya njia ya uzazi wa mpango baada ya kujifunguaDah!! Mkuu yani hata sielewi yani imekuwa bahati mbaya mpaka nashindwa kuelewa
Huo ni muongozo gani unasema hivoMwanamke akijifungua kwa op anatakiwa akae miaka 3 bila kushika ujauzito
Mwaka 1 duh mshono utaachia, nyie wanaume waoneen huruma wake zenu
Sawa endelea kuamini hvy hvyUsimtishe
Mama anaweza kujifungua Hadi watoto 4 (kama sio 6) kwa upasuaji
Kikubwa ni kuzingatia maelekezo anayopewa hospital
Acha kuongea tu bila ushahidiSawa endelea kuamini hvy hvy
Njoo na literature zinasemaje sio chat gpt mzeeSawa endelea kuamini hvy hvy
Alikuwa anatumia njia za uzaz wa mpango siku akiingia bridi/period basi inaweza kwenda mpaka mwezi bado anavuja yani njia zote zilikuwa zinamtesa sana, ikabidi tuanze kutumia kalenda mwisho wa siku ndio ivyo.Kwan huyo mama hajui kama kuna njia za uzazi wa mpango
😄😄 Yani mkuu huwezi amini nilikuwa nakutana nae siku si za hatari yani nashangaa mtu kashapata kitumbo dah sio powaMkuu utakuja kumuua shemejj, kama huwezi kumwagia nje, ungevaa ndomu, huwezi basi ungejitahidi upige mzigo siku ambazo si za hatari.