Mimba ya nne kujifungua kwa njia ya kisu, nini madhara au athari kwa mama?

Mkuu, nadhan ni kuwakosea watu wa taaluma hiyo! Hakuna chuo kinachomfundisha hvyo Daktari. Tutofautishe tabia ya mtu mmoja mmoja na fani yake
By the way, kama mama atajifungua kwa upasuaji, basi mimba zote zinazofuatia atajifungua kwa upasuaji. Kuna kitu inakutwa, trial of labor after cesarean section/vaginal delivery after cesarean section, ikiwa na maana kwamba mama ajaribu kujifungua kawaida baada ya kujifungua kwa upasuaji lakini imeonekana kwa wamama wengi, uterus huachia ule mshono wa kwanza na hivyo kuhatarisha maisha ya mama na mtoto . Na hvyo, njia Bora huwa ni kujifungua kwa upasuaji tu hata watoto wanaofuata
Ni vizuri ukawa unapata ushauri au majibu ya kitaalamu kuliko kukaa kusikiliza habari za kwenye vijiwe vya kahawa
 
Mkuu utakuja kumuua shemejj, kama huwezi kumwagia nje, ungevaa ndomu, huwezi basi ungejitahidi upige mzigo siku ambazo si za hatari.
 
Mimba ya nne kwa nini kwanza?

Kuna mashindano ya uzazi?
 
Kutoa nadhani ndo
Nilikuwa nawaza atoe mkuu ndio mana nikasema nililete hapa kwa wataalamu ili nipate ushauri juu ya ili suala mana hii wiki sikuwa na amani kabisa yani mawazo mengi sana mkuu acha tu
Hatari zaidi maana ndo unahatarisha kuchanika kwa mfuko wa uzazi kama ukitumia dawa kutoa mimba
 
Kwan huyo mama hajui kama kuna njia za uzazi wa mpango
Alikuwa anatumia njia za uzaz wa mpango siku akiingia bridi/period basi inaweza kwenda mpaka mwezi bado anavuja yani njia zote zilikuwa zinamtesa sana, ikabidi tuanze kutumia kalenda mwisho wa siku ndio ivyo.
 
Mkuu utakuja kumuua shemejj, kama huwezi kumwagia nje, ungevaa ndomu, huwezi basi ungejitahidi upige mzigo siku ambazo si za hatari.
😄😄 Yani mkuu huwezi amini nilikuwa nakutana nae siku si za hatari yani nashangaa mtu kashapata kitumbo dah sio powa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…