Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
Wakuu habari za mida hii,kama mtiakumbuka kuna wakati nilileta lalamiko kuhusu huyu wife kuninyima papuchi wakati mimba ikiwa changa,sasa bora hilo,sa ivi ananisimbua sana,kwanza hataki kukaa na mimi karibu,na kwa vile muda wa kujifungua umekaribia aliniambia anataka akajifungulie kwao nikaunguza nauli mpaka kwao,
Juzi kanipigia simu hataki anataka kurudi tena sio kwangu bali nimpeleke home kwetu akajifungulie kwa mama mkwe,na hali ilivyo jamani haya si majaribu?huko alikokua ilikua kila sec simu mara naumwa mgongo, mara kiuno huku analia kabisa yaani utadhani dunia hii yeye ndio wa kwanza kupata ujauzito, nimeshafanya utaratibu aje tu,jamani wake zenu wako kama huyu?
Na nyie wanawake hebu nishaurini jamani,hali hii itanifanya akijifungua tu namfunga na kizazi potelea mbali mtoto awe mmoja tu.
Juzi kanipigia simu hataki anataka kurudi tena sio kwangu bali nimpeleke home kwetu akajifungulie kwa mama mkwe,na hali ilivyo jamani haya si majaribu?huko alikokua ilikua kila sec simu mara naumwa mgongo, mara kiuno huku analia kabisa yaani utadhani dunia hii yeye ndio wa kwanza kupata ujauzito, nimeshafanya utaratibu aje tu,jamani wake zenu wako kama huyu?
Na nyie wanawake hebu nishaurini jamani,hali hii itanifanya akijifungua tu namfunga na kizazi potelea mbali mtoto awe mmoja tu.