Mimba ya Zari

Guys acheni kuonea watu banaa. Jana tu that stupid pro nerd alipozaa nilihoji mkanivamia kichizi. Eti Aunt celeb. Sasa watu wanauliza kuhusu Zari. Nae a pro of sorts. U kweli Pumzi MI naamini huyo Sepenga na Zari wali kuwa stunts tu never lovers wa huyo mpuuzi anaejiita platinumz . Sijui nini maana yake
 
Si vibaya kutaka kujua, ukishakua celeb. ni kawaida raia kufuatilia each of ur biz., hata unavyotiana.

Tupe tu msaada wa picha., tujiridhishe.

data kuna,watu hapa huwa wanajishaua sana lakini walivyoona hii post wamekuja mbio...ila ni bindamu hawa
 
Si vibaya kutaka kujua, ukishakua celeb. ni kawaida raia kufuatilia each of ur biz., hata unavyotiana.

Tupe tu msaada wa picha., tujiridhishe.

picha mchek insta broh
 

asante kwa kuwa na fikra tofauti acha wapige kelele ndugu yng
 
Bora umeuliza maana wengi hamjui...ni mavazi anayovaaaa, na leo karusha picha kavaa nyeusi inaonekana ni maternity dress ukiiangalia chini ya tumbo ilivyo na marinda kupanda juu. sasa rangi nyeusi ufanya miujiza milini na anaapata atu kama nyie msio na aibu kutwa kumtungia uzushi na maneno.

ila kwa yeyote anayeombea asizae basi limrudie....

aaadaku wengi insta badala ya kuuliza au kusubiri arushe updates wanamtungia mambo mia kidogo...anawapelekesha she is too much, smart lady...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…