Pumzi
JF-Expert Member
- Dec 5, 2013
- 321
- 55
- Thread starter
- #41
Huyu si mwanaume bali ni mtoto wa kiume mwenye homoni za kike....maana mwanamume kama mwanamume hawezi akasumbua akili yake katika mambo ya kipuuzi kama haya...kwani ana mambo mengi sana ya kufanya..
asante kwa maneno yko ila kilichoniuzunisha ujanisaidia kujibu hili