Ahmed Saidi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,588
- 3,487
Hatari hiiPhobia
Mimea gani mkuu,ungeweka hata picha mkuu labda nami niiona nianze kujisikia ovyo.
ukiona hii post unajisikiaje?
Oo my boi,mbona uoto mzuri sana huo.....tuliokulia mtoni kama vyura ni so good kuutazama....kwani ukiuona how do you feel?
Kaka sijawahi kunywa pombe hata kwenye kijiko, kuvuta sigara au chochote chenye kilevi.Mkuu bangi hauvuti if yes bas hiyo Ni phobia
Kweli binadamu tumetofautiana, Mara nyingi huota kwenye mitaro ya maji machafu😔Oo my boi,mbona uoto mzuri sana huo.....tuliokulia mtoni kama vyura ni so good kuutazama....kwani ukiuona how do you feel?
Yeah,Hauna shida na mtu huo ujani.....pole sana.Nipo mbeya hapa,je unaweza pita Kwa home nikutibie? Somehow Yaan🧐Kweli binadamu tumetofautiana, Mara nyingi huota kwenye mitaro ya maji machafu😔
Hahaa ngoja Nika GoogleMagonjwa ya kidhungu hayo
Hivi mtu ngoma ngumu anaweza
Sumbuliwa na kitu kama hicho
Ova
Unitibu kivipi??Yeah,Hauna shida na mtu huo ujani.....pole sana.Nipo mbeya hapa,je unaweza pita Kwa home nikutibie? Somehow Yaan🧐
Kabisa hapo nakubali hii ni fungus😂😂Fungus/Fungi🤔🤔🤔🤔