Mimea hii inanikosesha (inaninyima) Raha kabisa

Mimea hii inanikosesha (inaninyima) Raha kabisa

Kaka sijawahi kunywa pombe hata kwenye kijiko, kuvuta sigara au chochote chenye kilevi.
Pole sana. Wengi hawatakuelewa lakini mimi najua. Hii hali inaitwa Trypophobia. Mimi nikiona kitu cha namna hii ndiyo najisikia vibaya
200px-Nelumbo_Nucifera_fruit_-_botanic_garden_Adelaide.jpg
 
Nilijua nipo Peke yangu.

nipo ivyo tangu mtoto. kuanzia hizo moss plant na hivyo kwenye post no: 41 ...... naweza kushindwa Kula SEHEMU yenye hivyo ama nikiviona.
 
Penye unyevu huwa havikosekani, hasa mikoa yenye baridi au mvua nyingi, vinakera kiukweli ila havinisisimui km nikiona dudu washa mama weeeeee😂😂😂hata siku iharibika kabisa naweza kuhisi nimezungukwa na madudu washa nakuwa kama mwendawazimu😅
Me wadudu hata siwaogopi hao
 
Ngorongoro pale Makao kuna mimea flani hivi ya kuwasha.. ukigusa nayo tu yale majani kwisha habari yako. Yaani furaha yote inatoweka. Yaani kama umeunguzwa na moto. Huwa nikienda Ngorongoro nakuwa makini.
Hatari sana Dunia inavitu vya ajabu sana
 
Nilijua nipo Peke yangu.

nipo ivyo tangu mtoto. kuanzia hizo moss plant na hivyo kwenye post no: 41 ...... naweza kushindwa Kula SEHEMU yenye hivyo ama nikiviona.
Yeah, nafikiri tupo wengi wenye hii kitu
 
Sijui hii hali inanipata Mimi peke yangu au hata watu wengine!!

Yaani nikiona Moss Plants (mimea midogo ya kijani) ambayo huota sehemu zenye maji maji huwa nakosa raha kabisa, na najiskia vibaya. Hali hii imenianza tangu niko shule ya msingi lakini hadi leo bado ninayo.

Yaani sehemu ikiwa na hizi Moss Plants naweza nisipite kabisa, ni bora nipite njia nyengine, siwezi hata kuziangalia au kuzipitia kwa karibu.
Sasa wiki iloyopita nimekuja Mbeya na kutokana na hali ya huku ya mvua nyingi, aise kila sehemu zipo... Dah napata shida kweli.
Pole
 
Nimegoggle nimekutana na mtu mwenye hisia kama zangu, aisee basi itakuwa hii kitu inawakuta watu wengi tu.
Screenshot_20230207-170414.jpg
 
Haya ni magonjwa ya kisaikolojia ni mtu anajikuta yuko sijui hivyo wataalamu watujuze !! Yote kwa yote me sizipendi hizi hapa !! Kitu kinakua hakiumizi hata kuelezea ni ngumu ndo maana haya mambo kibongo bongo ni ngumu

Ulivyojisikia ndo nilivyojisikia 😂😂😂
 

Attachments

  • 82864b031800cf416e17b1137848547b.jpg
    82864b031800cf416e17b1137848547b.jpg
    144.5 KB · Views: 4
  • 3f687299085804a730ea4393447f16b9.jpg
    3f687299085804a730ea4393447f16b9.jpg
    116.5 KB · Views: 4
  • 7f09a373bc315f6aefeadef6d040f2dd.jpg
    7f09a373bc315f6aefeadef6d040f2dd.jpg
    53.8 KB · Views: 4
  • 323c09e37dbcbb7f35b4158ac1a71656.jpg
    323c09e37dbcbb7f35b4158ac1a71656.jpg
    85.2 KB · Views: 4
Haya ni magonjwa ya kisaikolojia ni mtu anajikuta yuko sijui hivyo wataalamu watujuze !! Yote kwa yote me sizipendi hizi hapa !! Kitu kinakua hakiumizi hata kuelezea ni ngumu ndo maana haya mambo kibongo bongo ni ngumu

Ulivyojisikia ndo nilivyojisikia 😂😂😂
Daah hata siwezi kuziangalia hizo picha kwakweli🤮🤮
 
Back
Top Bottom