NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Mtu ataibiwa mahaba hapa.Nawaza kiundani🤣Nakufundisha namna ya kucontrol hisia na mhemko yako from ubongo mpaka mach😵na tu kama uonavyo uvipendavyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu ataibiwa mahaba hapa.Nawaza kiundani🤣Nakufundisha namna ya kucontrol hisia na mhemko yako from ubongo mpaka mach😵na tu kama uonavyo uvipendavyo
🤣🤣🤣Tulia wewe,mbona unaharibu mpango😏Mtu ataibiwa mahaba hapa.Nawaza kiundani🤣
Natamani ningepangwa mimi, Ni wivu tu na kijicho kimenipata.🤣🤣🤣Tulia wewe,mbona unaharibu mpango😏
🤣🤣Huyu nataka nikutibie tu asijisikie vibaya akiona nyasi🥰Natamani ningepangwa mimi, Ni wivu tu na kijicho kimenipata.
Usijembadilishia aina ya nyasi lakini, mtibu tu kisokolojia.🤣🤣Huyu nataka nikutibie tu asijisikie vibaya akiona nyasi🥰
🤣🤣🤣🤣😜🤸Usijembadilishia aina ya nyasi lakini, mtibu tu kisokolojia.
Ushindi mwema.🤣🤣🤣🤣😜🤸
SanteeUshindi mwema.
Ha ha ha haSantee
🤣🤣🤣🤣🤗 Nini bhanaa 🤨Ha ha ha ha
Kuna watu maandishi yao tu yanatekenya sijui viuno vyao vikoje?🤣🤣🤣🤣🤗 Nini bhanaa 🤨
Atakuw LGBTQ huyuSijui hii hali inanipata Mimi peke yangu au hata watu wengine!!
Yaani nikiona Moss Plants (mimea midogo ya kijani) ambayo huota sehemu zenye maji maji huwa nakosa raha kabisa, na najiskia vibaya. Hali hii imenianza tangu niko shule ya msingi lakini hadi leo bado ninayo.
Yaani sehemu ikiwa na hizi Moss Plants naweza nisipite kabisa, ni bora nipite njia nyengine, siwezi hata kuziangalia au kuzipitia kwa karibu.
Sasa wiki iloyopita nimekuja Mbeya na kutokana na hali ya huku ya mvua nyingi, aise kila sehemu zipo... Dah napata shida kweli.
🤣🤣🤣Utaelewa tu taratiibuuu
Fumbua macho wewe, Huoni au.
Kama haoni pindo la gagulo hata mchoro wa mstari ataujuaje sasa.🤣🤣🤣Utaelewa tu taratiibuuu
Huko sasa kunikosea😡Atakuw LGBTQ huyu
🤣Mi kazi yangu Kila siku ni kuibadili mada kuwa maada afu YabisiKuna watu maandishi yao tu yanatekenya sijui viuno vyao vikoje?
😛😛😛🤣🤣🤣Utaelewa tu taratiibuuu
Naona naonaFumbua macho wewe, Huoni au.