To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣🥰🥰🥰Kwa kweli nilijua hii thread haitafikisha hata page mbili lakini naona kungwi umeingia🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🥰🥰🥰Kwa kweli nilijua hii thread haitafikisha hata page mbili lakini naona kungwi umeingia🤣🤣
Mgonjwa kalegea kabla ya tiba.🤣🤣🤣🤣🤭
Itabidi uwe dokta wanguOops,sor boss.Natibu mkuu.Karibu sana
Kuna mengi sana nisioyajua hapa duniani! Pole sana nduguSijui hii hali inanipata Mimi peke yangu au hata watu wengine!!
Yaani nikiona Moss Plants (mimea midogo ya kijani) ambayo huota sehemu zenye maji maji huwa nakosa raha kabisa, na najiskia vibaya. Hali hii imenianza tangu niko shule ya msingi lakini hadi leo bado ninayo.
Yaani sehemu ikiwa na hizi Moss Plants naweza nisipite kabisa, ni bora nipite njia nyengine, siwezi hata kuziangalia au kuzipitia kwa karibu.
Sasa wiki iloyopita nimekuja Mbeya na kutokana na hali ya huku ya mvua nyingi, aise kila sehemu zipo... Dah napata shida kweli.
Sawa, nmekaribia.. Kuna mada yako ile ya uonevu kwa wanawake🤣🤣Yeah,mbeya mkuu...karibu sana
Sio dada ni doctor mfawiziAhaa sawa dada
🤣🤣🤣Si nimekuambia tulia dawa imkolee🤗Sasa unabembeleza sasa.
Asante kaka mkubwaKuna mengi sana nisioyajua hapa duniani! Pole sana ndugu
Oo umeikumbuka ee,Ile ndo yenyewe maudambu kede mle🤣🤣Sawa, nmekaribia.. Kuna mada yako ile ya uonevu kwa wanawake🤣🤣
Hivi na marangu ni mamndenyi.?kinondoni again
Kazi kwelikweliSio dada ni doctor mfawizi
Wasafiria nyota wamefika.Itabidi uwe dokta wangu
DuuhOo umeikumbuka ee,Ile ndo yenyewe maudambu kede mle🤣🤣
njia ya kwenda taveta?Hivi na marangu ni mamndenyi.?
😳🤭Kuwa serious bas,nikutibie kweliItabidi uwe dokta wangu
Poa hayanjia ya kwenda taveta?
Ndio nini tenakinondoni again
😁 nyota ya kuogopa ukijaniWasafiria nyota wamefika.
🤣🤣🤣Ndo ivo,chelewachelewa Utakuta maana si wakoWasafiria nyota wamefika.