Ahmed Saidi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,588
- 3,487
- Thread starter
- #141
Niwie radhi mleta madaHuu uzi najuta kuupitia hapa nasikia Kama wadudu wanapita kichwani [emoji30]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niwie radhi mleta madaHuu uzi najuta kuupitia hapa nasikia Kama wadudu wanapita kichwani [emoji30]
Mkuu umepimamimba?Sijui hii hali inanipata Mimi peke yangu au hata watu wengine!!
Yaani nikiona Moss Plants (mimea midogo ya kijani) ambayo huota sehemu zenye maji maji huwa nakosa raha kabisa, na najiskia vibaya. Hali hii imenianza tangu niko shule ya msingi lakini hadi leo bado ninayo.
Yaani sehemu ikiwa na hizi Moss Plants naweza nisipite kabisa, ni bora nipite njia nyengine, siwezi hata kuziangalia au kuzipitia kwa karibu.
Sasa wiki iloyopita nimekuja Mbeya na kutokana na hali ya huku ya mvua nyingi, aise kila sehemu zipo... Dah napata shida kweli.
Umekuja kumtusi sioMkuu umepimamimba?
🤣🤣🤣Nimeaga tayari kamanda 😉
Ndio na ile nyengine siwezi kutaja... Ana mambo sana huyoIle ya kukalia tindo au nimekosea kichwa barua.
Waweza pukutikaNdio na ile nyengine siwezi kutaja... Ana mambo sana huyo
Sana kiongoziNadhani watu karibia wote hawapendi ila wengi hawajui kwa jina lake ndio maana wajaelewa sehemu zinazoota zina sifa ya kuwa nyepenyepe inayotia kinyaa zikokomaa Sana zinajenga utando utando wa kijani mpaka Kama ukuta inaoza inareta kinya
Unajihisi Albino, dunia pana sana hii.pole nakuelewa me sina hiyo nina heliophobia ya kuogopa jua au nikiwa kwenye jua nahisi ngozi inaburn kabisa kumbe ni psychological tu..
Sawa dokta wangu naona tiba imeanza vizuri😍Sawa,usijali...mi nipo for you from now on 😘😘😘
😂😂😂😂 acha tuUnajihisi Albino, dunia pana sana hii.
Mh. Kwenye penalty box upo.Sawa dokta wangu naona tiba imeanza vizuri😍
Yeah Dodoma papo poa sana kwanguTume ubwa na hisia tofaut, ila hio moss plant ni kawaida hasa Kwa mbeya, au mito yenye maji safi.
Pole kaishi DODOMA.
mi refaree mkuuMh. Kwenye penalty box upo.
Yeap binadamu tumeumbwa tofauti sanapole nakuelewa me sina hiyo nina heliophobia ya kuogopa jua au nikiwa kwenye jua nahisi ngozi inaburn kabisa kumbe ni psychological tu..
Wakati unasubiria kupasia tu, kamdanganye nyau.mi refaree mkuu
Akiona picha si atarusha simu/Computer.Mimea gani mkuu,ungeweka hata picha mkuu labda nami niiona nianze kujisikia ovyo.
Mi changu kipyenga niite mpira kati, kazi kwenu kugombania mpira wa konaWakati unasubiria kupasia tu, kamdanganye nyau.