To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣Hataree😁 nyota ya kuogopa ukijani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Hataree😁 nyota ya kuogopa ukijani
HatareeMgonjwa kalegea kabla ya tiba.
Nitibie kweli daktari 😄 naumwa nisipofika mbeya😳🤭Kuwa serious bas,nikutibie kweli
Hta kwa offside ushindi la lazima.🤣🤣🤣Ndo ivo,chelewachelewa Utakufa maana si wako
Na salama haipo katika hatare hiyo.Hataree
Hahaha mkuu unapenda ugomvi sana.
Pole sana. Wengi hawatakuelewa lakini mimi najua. Hii hali inaitwa Trypophobia. Mimi nikiona kitu cha namna hii ndiyo najisikia vibaya
![]()
Ha ha ha ha vichanganye na chipsi.Daah umeniharibia jioni yangu [emoji19]
Ile ya kukalia tindo au nimekosea kichwa barua.Sawa, nmekaribia.. Kuna mada yako ile ya uonevu kwa wanawake🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Aisee,watu mna mawordsKama haoni pindo la gagulo hata mchoro wa mstari ataujuaje sasa.
Ha ha ha kunu ni mjini ncho!!🤣🤣🤣🤣Aisee,watu mna mawords
Sawa,usijali...mi nipo for you from now on 😘😘😘Nitibie kweli daktari 😄 naumwa nisipofika mbeya
Kwanini umemuuliza hivyo?Hahaha mkuu unapenda ugomvi sana.
Pole sanaDaah umeniharibia jioni yangu [emoji19]
Usiku mwemaAhmet uwe mzima bas,kwaherini wapendwa🙏