To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤐Unaenda wapi tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤐Unaenda wapi tena
Daah kweli kila mtu na lake, aisee hii yako mpya😂😂Wabongo bwana.
Hizo ni disorder za kawaida kwa binadamu. Ni kama kuna rafiki yangu na umwamba wake wote lakini ile lightining wakati wa mvua inamsumbua sana, anakosa raha. Ni phobia (repulsion) za kawaida zinaweza kumkuta mtu yoyote.
Ni kama mimi binafsi mbegu ya ubuyu sijui naionaje, naionea kinyaa sana. Na siwezi kabisa kuwa na mahusiano na mwanamke anayekula ubuyu. Au kama anakula nisiwe namuona, ale akiwa mbali na nisizione mbegu za ubuyu.
Mimi huwa navipapasa papasa maana viko laini kama manyoya ya farasi.Imagine wengine ndio kwanza tunavua viatu tukanyage maana ni vilaini na vinafanya miguu irelax.[emoji13][emoji13].
Wabongo wengi tuna negativity kuhusu Jambo au hisia za mtu flani.Wabongo bwana.
Hizo ni disorder za kawaida kwa binadamu. Ni kama kuna rafiki yangu na umwamba wake wote lakini ile lightining wakati wa mvua inamsumbua sana, anakosa raha. Ni phobia (repulsion) za kawaida zinaweza kumkuta mtu yoyote.
Ni kama mimi binafsi mbegu ya ubuyu sijui naionaje, naionea kinyaa sana. Na siwezi kabisa kuwa na mahusiano na mwanamke anayekula ubuyu. Au kama anakula nisiwe namuona, ale akiwa mbali na nisizione mbegu za ubuyu.
Pole sana mkuu. Hata mimi nikiona huwa najisikia vibaya. Huwa wanasema dawa yake ni kujaribu ku-face hivi vitufe kwa ujasiri mpaka uzoee.Daah umeniharibia jioni yangu [emoji19]
Mimi mwili unasisimuka na kujisia kama nataka kupiga kelele. Nijisikia kama nataka kuviponda-ponda ili nisivione tena.Nilijua nipo Peke yangu.
nipo ivyo tangu mtoto. kuanzia hizo moss plant na hivyo kwenye post no: 41 ...... naweza kushindwa Kula SEHEMU yenye hivyo ama nikiviona.
Hiyo inaitwa exposure therapy. Kwa hivyo vidudu siwezi kufanya😂😂Pole sana mkuu. Hata mimi nikiona huwa najisikia vibaya. Huwa wanasema dawa yake ni kujaribu ku-face hivi vitufe kwa ujasiri mpaka uzoee.
Ipo hivyo.Daah kweli kila mtu na lake, aisee hii yako mpya😂😂
😂😂 Tunatofautiana binadamu, Mimi Nikila ubuyu zile mbegu zake nazitafuna mpaka nakuta ile nyama iliyo ndani ya mbeguIpo hivyo.
Ila kwa moss plants mimi nazipenda sana.
Mkuu wewe una iyo heliophobia ya jua? Mimi nina diclofanus Arus naogopa oxygen hii yenu ya bure mnayo breath natumia flavoured oxygen maalum.pole nakuelewa me sina hiyo nina heliophobia ya kuogopa jua au nikiwa kwenye jua nahisi ngozi inaburn kabisa kumbe ni psychological tu..
Ukungu wa kijani unaoota pembeni mwa nyumba, kwenyemitaro, mawe na miti iliyooza.Sijui hii hali inanipata Mimi peke yangu au hata watu wengine!!
Yaani nikiona Moss Plants (mimea midogo ya kijani) ambayo huota sehemu zenye maji maji huwa nakosa raha kabisa, na najiskia vibaya. Hali hii imenianza tangu niko shule ya msingi lakini hadi leo bado ninayo.
Yaani sehemu ikiwa na hizi Moss Plants naweza nisipite kabisa, ni bora nipite njia nyengine, siwezi hata kuziangalia au kuzipitia kwa karibu.
Sasa wiki iloyopita nimekuja Mbeya na kutokana na hali ya huku ya mvua nyingi, aise kila sehemu zipo... Dah napata shida kweli.
Sasa jongoo atakufanyia nini?Juzi hapa alipita jongoo niliogopa sana nilipiga kelele kuomba msaada lakini hakukua na misaada ililazimu nikimbie kuokoa maisha yangu, Jongoo alikuwa ni mkubwa kweli tena meusi sana, hakika anaogofya sana. Nashukuru baada ya masaa mawili kurudi hakika alikuwa amekwisha ondoka zake! 😁😁😁
Mi kuna mmoja kaweka picha ya viduduwasha vingii,, huwezi amini mikono haina nguvu kabisa, nahisi imelegea kwa hofuHuu uzi najuta kuupitia hapa nasikia Kama wadudu wanapita kichwani [emoji30]
Siwezi kukumbuka exact time, lakini kipindi Niko darasa la sita Hadi Saba hiviIlikuanza ukiwa wapi? Mazingira ya kwanza kukupata ilikuwaje?
We umenizidi Sasa😂Mi kuna mmoja kaweka picha ya viduduwasha vingii,, huwezi amini mikono haina nguvu kabisa, nahisi imelegea kwa hofu
Labda jambo baya lilikupata kwenye sehemu yenye hiyo mimea. Labda uliona mdudu wa kutisha chini yake.Siwezi kukimbuka exact time, lakini kipindi Niko darasa la sita Hadi Saba hivi
Hali kama hiyo pia hunikuta mimi pale ninapopita kwenye eneo lenye mkusanyiko wa takataka zenye unyevu,huwa najisikia vibaya sana,nawwza kupata mafua na hata home ndogo wakati mwingine,kingine ni aina fulani ya sisimizi wadogo wekundu,hawa niliwaona wakishambulia mzoga wa mbwa,tokea hapo nikiwaona ile kumbukumbu inanijia na kujihisi vibaya sana.Nashukuru nimepata mwenzangu, haiwezekani niwe peke yangu mwenye hii allergy[emoji56]