fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Nipo jirani na kwako ujue..😜Miss you too man
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo jirani na kwako ujue..😜Miss you too man
😳🤸Nipo jirani na kwako ujue..😜
😂😂😂 Mpe poleww utakuwa unakinyaa hata sikushangai,kuna mtu naye huku nilipo hapendi pia kuona uwo ukijani tena ndio ukute umeotokea sehemu chafuchafu atalala Mika wiki nzima
Jitahidi usiwe unaweka vitu vya kukutia kinyaa kichwan,afu usiweke mazingiraa ya kuogopa mda wate inaweza kukusaidia😂😂😂 Mpe pole
Yaani ameshaona umesema unapata tabu ndo kwanza anapost.Kwanini umemuuliza hivyo?
Shukran kwa kuniskiliza.🤣🤣🤣Nimeaga tayari kamanda 😉
ndiyo boss ila kitaalamu infahamika kamaNajua ipo coz hata mwenyewe nnayo but nauliza kama inafahamika kitaalamu kama moss phobia
Basi wahi milembe.Kaka sijawahi kunywa pombe hata kwenye kijiko, kuvuta sigara au chochote chenye kilevi.
Mi chawa wa Ahmet.Mi changu kipyenga niite mpira kati, kazi kwenu kugombania mpira wa kona
Mbona ndio utamu wa kuku ulipo, ngozi ya kuku ni tamu sanaHata mimi sipendi ngozi ya kuku, eti nile nyanya ya kuku na ngozi yake duh siwezi kabisa.
Nawewe wahi milembeHata mimi sipendi ngozi ya kuku, eti nile nyanya ya kuku na ngozi yake duh siwezi kabisa.
Nahisi tu nmeona kitu kibaya.We😳 mna tatizo gani?
Inaitwa mosses.Mimea gani mkuu,ungeweka hata picha mkuu labda nami niiona nianze kujisikia ovyo.
Sijui hii hali inanipata Mimi peke yangu au hata watu wengine!!
Yaani nikiona Moss Plants (mimea midogo ya kijani) ambayo huota sehemu zenye maji maji huwa nakosa raha kabisa, na najiskia vibaya. Hali hii imenianza tangu niko shule ya msingi lakini hadi leo bado ninayo.
Yaani sehemu ikiwa na hizi Moss Plants naweza nisipite kabisa, ni bora nipite njia nyengine, siwezi hata kuziangalia au kuzipitia kwa karibu.
Sasa wiki iloyopita nimekuja Mbeya na kutokana na hali ya huku ya mvua nyingi, aise kila sehemu zipo... Dah napata shida kweli.
Hahaaa mnyama Gani huyoKuna video fulani hivi niliiona sehemu kuna kiumbe fulani hivi wa baharini sijui ndio nyangumi anaibuka kutokea baharini halafu anarudi tena ndani. Sasa jinsi anavyoibuka na ule muonekano wake na ngozi yake ya ajabu ilivyoumbwa mtu mwenye Trypophobia nadhani itamuacha hoi.
Kabisa kaka Bora jua likiwaka inapungua kidogoMkuu hata Mimi Nina hyo kasumba, yaani nabadili njia kabisa au kama itanilazimu kupita basi Huwa naangalia pembeni au naweka umakini kutazama mbele.
Na kibaya zaidi inaota sehemu za mazingira ya vyoo hasa vyoo vya nje. Kwa huko ulipo Hilo hiyo ni kawaida kutokana na Hali ya kijiografia.
Sijajua.Hahaaa mnyama Gani huyo
Mboo inasimama sawa sawa?Kaka sijawahi kunywa pombe hata kwenye kijiko, kuvuta sigara au chochote chenye kilevi.