Mimea hii inanikosesha (inaninyima) Raha kabisa

Mimea hii inanikosesha (inaninyima) Raha kabisa

ww utakuwa unakinyaa hata sikushangai,kuna mtu naye huku nilipo hapendi pia kuona uwo ukijani tena ndio ukute umeotokea sehemu chafuchafu atalala Mika wiki nzima
😂😂😂 Mpe pole
 
Najua ipo coz hata mwenyewe nnayo but nauliza kama inafahamika kitaalamu kama moss phobia
ndiyo boss ila kitaalamu infahamika kama
"Botanophobia is the extreme, unwarranted and often irrational fear of plants."
 
Kuna video fulani hivi niliiona sehemu kuna kiumbe fulani hivi wa baharini sijui ndio nyangumi anaibuka kutokea baharini halafu anarudi tena ndani. Sasa jinsi anavyoibuka na ule muonekano wake na ngozi yake ya ajabu ilivyoumbwa mtu mwenye Trypophobia nadhani itamuacha hoi.
 
Sijui hii hali inanipata Mimi peke yangu au hata watu wengine!!

Yaani nikiona Moss Plants (mimea midogo ya kijani) ambayo huota sehemu zenye maji maji huwa nakosa raha kabisa, na najiskia vibaya. Hali hii imenianza tangu niko shule ya msingi lakini hadi leo bado ninayo.

Yaani sehemu ikiwa na hizi Moss Plants naweza nisipite kabisa, ni bora nipite njia nyengine, siwezi hata kuziangalia au kuzipitia kwa karibu.
Sasa wiki iloyopita nimekuja Mbeya na kutokana na hali ya huku ya mvua nyingi, aise kila sehemu zipo... Dah napata shida kweli.

Mkuu hata Mimi Nina hyo kasumba, yaani nabadili njia kabisa au kama itanilazimu kupita basi Huwa naangalia pembeni au naweka umakini kutazama mbele.

Na kibaya zaidi inaota sehemu za mazingira ya vyoo hasa vyoo vya nje. Kwa huko ulipo Hilo hiyo ni kawaida kutokana na Hali ya kijiografia.
 
Kuna video fulani hivi niliiona sehemu kuna kiumbe fulani hivi wa baharini sijui ndio nyangumi anaibuka kutokea baharini halafu anarudi tena ndani. Sasa jinsi anavyoibuka na ule muonekano wake na ngozi yake ya ajabu ilivyoumbwa mtu mwenye Trypophobia nadhani itamuacha hoi.
Hahaaa mnyama Gani huyo
 
Mkuu hata Mimi Nina hyo kasumba, yaani nabadili njia kabisa au kama itanilazimu kupita basi Huwa naangalia pembeni au naweka umakini kutazama mbele.

Na kibaya zaidi inaota sehemu za mazingira ya vyoo hasa vyoo vya nje. Kwa huko ulipo Hilo hiyo ni kawaida kutokana na Hali ya kijiografia.
Kabisa kaka Bora jua likiwaka inapungua kidogo
 
Back
Top Bottom