Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Sasa nikiviona live mwili unakuwa mbaya zaidi,We umenizidi Sasa😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nikiviona live mwili unakuwa mbaya zaidi,We umenizidi Sasa😂
Yeah kila kitu kinasababu yake but iyo sababu may be inaniathiri unconsciously. Bila mwenyewe kujuaLabda jambo baya lilikupata kwenye sehemu yenye hiyo mimea. Labda uliona mdudu wa kutisha chini yake.
Aisee wengi hii hali inatukutaHali kama hiyo pia hunikuta mimi pale ninapopita kwenye eneo lenye mkusanyiko wa takataka zenye unyevu,huwa najisikia vibaya sana,nawwza kupata mafua na hata home ndogo wakati mwingine,kingine ni aina fulani ya sisimizi wadogo wekundu,hawa niliwaona wakishambulia mzoga wa mbwa,tokea hapo nikiwaona ile kumbukumbu inanijia na kujihisi vibaya sana.
Nenda kwa mwanasaikolojia akunyumbulisheYear kila kitu kinasababu yake but iyo sababu may be inaniathiri unconsciously. Bila mwenyewe kujua
Mimi mwenyewe mwanasaikolojia piaNenda kwa mwanasaikolojia akunyumbulishe
Pole sana ufumbe macho ukiviona Sasa.Sasa nikiviona live mwili unakuwa mbaya zaidi,
Hii kitu ipo kweli??
Hii ni mimea au fungus?
NitajitahidiPole sana ufumbe macho ukiviona Sasa.
Ni mimea hii kwenye classification secondary tulisoma kama Moss PlantsHii ni mimea au fungus?
Na mimi nakushangaa wewe mwalimu wangu alafu uzuri wake zaidi umeishi kwenye mazingira yenye majimaji na unaifahamu moss plants na umuhimu wake kwenye ecosystem mpaka unahitaji picha kweli?Oo my boi,mbona uoto mzuri sana huo.....tuliokulia mtoni kama vyura ni so good kuutazama....kwani ukiuona how do you feel?
Mtaalamu wa kusomea au mshauri nasaha?Mimi mwenyewe mwanasaikolojia pia
Ndiyo,ni kweli nilihitaji picha,je,ulitaka nijifanye nafahamu coz am a teacher?Na mimi nakushangaa wewe mwalimu wangu alafu uzuri wake zaidi umeishi kwenye mazingira yenye majimaji na unaifahamu moss plants na umuhimu wake kwenye ecosystem mpaka unahitaji picha kweli?
Nimesoma psychology na ndio profession yangu ingawa sijapractice Kwa muda mwingi but najua vitu vingi kwenye hii field. Mambo ya disorders haya tumesoma sana.Mtaalamu wa kusomea au mshauri nasaha?
That was my way of greeting you tonight my dearest. Upo powa lakini?Ndiyo,ni kweli nilihitaji picha,je,ulitaka nijifanye nafahamu coz am a teacher?
💕💕HiThat was my way of greeting you tonight my dearest. Upo powa lakini?
You're missed a lot.💕💕Hi
Miss you too manYou're missed a lot.