Mimea ina akili?

Mimea ina akili?

Huo hapo chini ni mche wa tunda la PASHENI. Inafahamika kuwa katika ukuaji wake, hutambaa juu ya miti au egemeo litakalokuwa jirani yake. Nilikuwa nasubiri ukue vya kutosha ndipo niuwekee egemeo. Lakini nimeshangaa kukuta umeshajisogeza kwenye fensi na kuendelea kukua kwa kuukwea.

Hakuna mtu aliyeuelekeza upande huo. Na kwa mazingira ya eneo hilo, nilitarajia ungekua kwa kuelekea upande wa Magharibi, badala ya Mashariki ambako ndiko kulipo na fensi.

Umewezaje kutambua kuwa egemeo lipo upande wa Mashariki na kuamua kuufuata bila usaidizi wa binadamu?

Je! Mimea ina akili?

Mimea ina macho au namna ya kuhisi?

Kuna tafiti za Kisayansi zilishawahi kufanyika kubaini kama mimea ina uwezo wa utambuzi?
Plants have specialised sensory organs known as mechanoreceptors that detect mechanical stimulation like touch and pressure. Mechanoreceptors in plants often take the form of fine hairs.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo hapo chini ni mche wa tunda la PASHENI. Inafahamika kuwa katika ukuaji wake, hutambaa juu ya miti au egemeo litakalokuwa jirani yake. Nilikuwa nasubiri ukue vya kutosha ndipo niuwekee egemeo. Lakini nimeshangaa kukuta umeshajisogeza kwenye fensi na kuendelea kukua kwa kuukwea.

Hakuna mtu aliyeuelekeza upande huo. Na kwa mazingira ya eneo hilo, nilitarajia ungekua kwa kuelekea upande wa Magharibi, badala ya Mashariki ambako ndiko kulipo na fensi.

Umewezaje kutambua kuwa egemeo lipo upande wa Mashariki na kuamua kuufuata bila usaidizi wa binadamu?

Je! Mimea ina akili?

Mimea ina macho au namna ya kuhisi?

Kuna tafiti za Kisayansi zilishawahi kufanyika kubaini kama mimea ina uwezo wa utambuzi?
Atakuja shehe Ponda hapa ama wafuasi wake na kukuambia kuwa ni majini ya Allah ndiyo wanafanya hivi, allahamdulillah!
 
Mimea ina nguvu ndani yake,ipo mimea usinyaa ikiguswa,ipo mimea hula wadudu akitua tu inajifunga analiwa,ipo mimea ina nguvu za kuzuia nguvu za wachawi na majini wasiweze kuingia eneo nyumba au shamba.
Ipo mimea inayovutia nyoka na isiyovutia pia.
Ipo mimea ndani ya nyumba kama hakuna amani haikui inasainyaa,ipo mimea uleta bahati,nk
Acha uongo
 
Mimea ina nguvu ndani yake,ipo mimea usinyaa ikiguswa,ipo mimea hula wadudu akitua tu inajifunga analiwa,ipo mimea ina nguvu za kuzuia nguvu za wachawi na majini wasiweze kuingia eneo nyumba au shamba.
Ipo mimea inayovutia nyoka na isiyovutia pia.
Ipo mimea ndani ya nyumba kama hakuna amani haikui inasainyaa,ipo mimea uleta bahati,nk
[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom