Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaenda wapNitarudi
Tupe daawaUyu n pacha wangu Toka Long time ago 😂😂
Shukran sana mkuu Kwa kushukulu ila nimeweka Kwa kiswahili Ili watu wote waweze kupata faida hii mkuu🙏🏽Ahsante sana 😍
Sasa
Kisonono na chango
Na mengineyo unaweza andika kwa lugha ya kiingereza kwa mabano
Maana kama mie wa kijijini ngachoka kuhighlight na ku Google.. 🤗
Ili Ili jina unalo liona apaUmesema unatibu
Wewe ni mtibu kwa miti shamba unajulikana kama nani?
Umenikumbusha kitambo hicho enzi za kujipikilisha hayo majani tulikua tunaponda tunaweka maji yanateleza sasa na sisi tulikua tunasema ni mlenda ila hatuli ukweli tunaishia kwenye kidevuSida Acuta
Mmea huu ni mgumu sana kung'oa nadhani wengi tunaujua au tumeshawahi kuuona.sijui kilugha wala kiswahili chake.
Huu mmea
*Chai ya mizizi yake inaongeza nguvu za kiume
*Ukiponda majani yake kwa kuchanganya na kitungu swaumu ni dawa ya jipu
*Chai ya majani yake inasaidia mwanamke kujifungua haraka bila maumivu makali sana
*Chai ya mmea huu ni nzuri kwa mwanamke ambaye uzazi umegoma. Kunywa hii kwa siku 5 kuanzia unapoona damu ya hedhi
Mungu atajaalia
Je umeutambua mmea huu? Unajua niini kuhusu huu mmea kwa zaidi ya niView attachment 3225405liyoyaelezaa??
Msijal nikipata chance nitaletaTupe faida ya gotu kola pia
Asante sana mkuu tupo apa kwaajil ya kusaidiana 🙏🏽Huu ni Uzi mzuri sana
🙏🏽🙏🏽Shukran
Kwa Leo inatosha na wengine wajazie elim bahariTupe daawa
Asante na huu uzi uwe na mwendelezo.
Nimeshasapuskraipu hii pageMmea ni majabu ya Mungu kwetu .
Mmea hapo kwenye picha :
🥬Kisukuma unaitwa Mjorwambogo.
🥬Kikamba unaitwa Ithaa.
🥬Kikikuyu unaitwa Mwino au mwinu.
🥬Kijaruo unaitwa Ovino au owinu.
🥬Kimeru unaitwa Kirao au Murao.
🥬Kitaita unaitwa Mbinu au Mshua.
🥬Kiiraq unaitwa Nkharerei.
🥬Kihehe huitwa Mulimuli.
🥬Kisambaa huitwa Mzangazi.
Kuhusu matibabu :
🥬 Huo mti hutibu magonjwa ya ini...
🥬Hutibu vidonda vya tumbo. Hutibu malaria, typhoid na ameba.
🥬Hutibu kisonono. Huondoa sumu zote mwilini na kupunguza mafuta.
🥬Mtidawa huu hushusha shinikizo la damu yaani presha ya kupanda.
🥬Hutibu chlamydia. Hutibu magonjwa ya mifupa. Magonjwa yote ya mfumo wa uzazi wa mwanamke hutibiwa na mti huu...
🥬Mti huu humwezesha mwanamke kushika ujauzito ikiwa hajakoma hedhi.Hii hufanyika kwa kuondoa uvimbe wowote kwenye mfumo wa uzazi, ini, bandama, figo, kusafisha kizazi, kurutubisha mayai na kuongeza uwezekano wa kupata ujauzito
🥬 Mti huu hurudisha mzunguko wa hedhi na kuuweka uwe sawa ikiwemo kuondoa maumivu kipindi cha hedhi...
🥬Mti huu huondoa uvimbe wa aina yoyote ndani ya mirija ya uzazi, ovari, uterus au kizazi kwa muda wa wiki tatu tuu..
NAMNA YA KUTENGENEZA
🥬Chukua majani yake. Hakikisha huchanganyi na mbegu zake. Chukua majani tuu. Chukua mengi kadri uwezavyo. Yaanike mahali safi ndani, Yasambaze kabisa. Baada ya siku tatu kama mahali hapo pana joto la kutosha (hapo ndani na siyo nje kwenye jua) yatakauka.Saga ili kupata unga laini, Waweza kusaga hata kwa kufikicha tuu kwa mkono. Ni malaini na yanasagika kwa haraka mno ikiwa yamekauka vizuri. Waweza kusaga kwa kutumia brenda pia...
NAMNA YA KUTUMIA
🥬 Isipokuwa ugonjwa wa kisonono, tumia kijiko kidogo ndani ya maji ya moto nusu kikombe cha chai asubuhi na jioni kwa muda wa week mbili. Baada ya hapo, nenda ukapime hutaona kitu.
🫐Kumbuka: Mtidawa huu utakufanya uharishe kama mara tatu kila unapokunywa. Kadri tatizo linavyoendelea kuisha mwilini, kuharisha nako kunapungua na mwisho kupotea kabisa. WagonjwaView attachment 3225379
Ni kweli ila mlikua hamjui kama mnachezea dhahabu😂😂Umenikumbusha kitambo hicho enzi za kujipikilisha hayo majani tulikua tunaponda tunaweka maji yanateleza sasa na sisi tulikua tunasema ni mlenda ila hatuli ukweli tunaishia kwenye kidevu