FAIDA ZA LIMAO /KUNYWA MAJI YA LIMAO , NI NYINGI SANA NARUDIA KWA FAIDA YA WAGENI JAPO SITAZISEMA ZOTE ...
Lemon juice + water
Juisi ya limao na maji
KILA ASUBUHI HAKIKISHA KABLA KUFANYA CHOCHOTE UNAKUNYWA KINYWAJI HIKI
Hapo kuna malimao mawili ndani ya glasi ya maji .
Hiki ni kinywaji sahihi kuanza nacho Kila siku
Ukijenga tabia ya kunywa juisi hii utaona maajabu makubwa sana kwenye afya yako.ndani tu ya siku 30 ...
1.Huimarisha kinga ya mwili Kwa kuwa lina vitamin C
2.Husafisha utumbo mpana, huzuia constipation-Dietary Fiber
3.Hutibu malaria, kipindupindu, ni Antibacteria
4.Huweka sawa pH ya damu-Limao hufanya damu iwe alkaline, Kuongeza Damu Mwilini ..
5.Husaidia mmeng'enyo wa chakula-Husaidia/huchochea kuzalishwa kwa nyongo
6.Huzuia magonjwa ya moyo na presha ya juu ya damu-pH balance calcium, magnesium na potassium
7.Hutibu homa na mafua
8.Huondoa sumu mwilini-alkaline blood/pH balance
9.Hutibu arthritis na Rheumatism-Husafisha damu na huondoa uric acid
10.Huondoa mikunjo kwenye ngozi
11.Huondoa maumivu ya kuumwa na nyuki
12.Huboresha afya ya macho
13.Huzuia kuvuja kwa damu ndani ya mwili au puani
14.Huondoa makovu kwenye ngozi
15.Kisukari(Type 1 diabetes) hasa kwa watoto kwa heri
16.Cancer ya utumbo mpana kwa heri
17.Cancer yoyote kwa heri kama utakuwa na tabia ya kunywa maji ya limao
18.Kipindupindu kwa heri kama una tabia ya kunywa maji ya limao kila asubuhi
19.Soko la dawa za malaria litashuka kama watu watakuwa wanatumia maji ya limao
20.Kwa watu wenye maumivu ya magoti huweza kupata nafuu kwa kunywa maji ya limao tu na kusahau dawa za hospitalini.
21.Kwa kina dada warembo kwa kutumia limao tu wataepukana na vipodozi vyenye sumu kama Oxybenzone,Avobenzone
Escamule , Octocryclene Zinazosababisha kansa ili kungarisha ngozi zao..
Yaani usiende mbali sana, chukulia cancer, kisukari na malaria pekee....
Kama watu watapenda kutumia maji ya limao mara kwa mara kwenye ma
View attachment 3225392isha yao ina maana soko la dawa za cancer, kisukari na