Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante na ubarikiwe sana kwa kutujuza dawaDAWA YA SIKIO KUUMA NA KUTOA USAHA:
MAHITAJI:
Majani ya mbaazi
MATAYARISHO NA MATUMIZI YAKE:
Chukua majani kidogo ya mbaazi na uyatwange kisha kamulia maji yake kwenye sikio linalouma au kutoa usaha fanya hivo kutwa mara 2 kwa siku 3. Kwa uwezo wa Mungu tatizo lako litakwisha
Asili huponya
View attachment 3225443
🙏🏽🙏🏽Asante na ubarikiwe sana kwa kutujuza dawa
Namna iyo ni ku share maalifa🙏🏽mtura kwa watoto wadogo wanaosumbuliwa na tumbo chemsha mzizi mpe mtoto robo kijiko
Manyara, specifically Mbulu na Babati. Kwa mkoa wa Arusha wako sana Karatu.Kabila za mikoa ipi hiyo?
Manyara, specifically Mbulu na Babati. Kwa mkoa wa Arusha wako sana Karatu.
Dr. Willbroad Slaa &Pauline Gekul ni Wairaqw
KITUNGUU SAUMU KINA MSAADA UPI KWA WANAUME
Mda huu ngoja nikupe mbinu rahisi ya kuvikojo*** vitoto vya 2000 kirahisi kabisaa😅😅😅😅
Kitunguu saumu kina ALLICIN, kiambata kinachosaidia mzunguko mzuri wa damu kwenye viungo vya uzazi. Kuwa na mzunguko mzuri wa damu kwenye uume ni sababu kubwa ya kuongeza stamina ya kufanya mapenzi.
Sifa kuu za kitunguu saumu zinazokifanya kuwa na uwezo na faida nyingi mwilini ni kuwa na viasili kadhaa ambavyo vina uwezo tofauti tofauti.
Baadhi ya viasili hivi husaidia kutanuka kwa mishipa ya damu (vasodilation, kwa lugha ya kiingereza) kwa kubadilisha polysulphides zilizo ndani yake kuwa hydrogen sulphides kwenye seli nyekundu za damu.
Pia, kitunguu saumu husaidia kuthibiti kiwango cha kemikali iitwayo homocystine
mwilini na hivyo kupunguza madhara ya kisukari. Kitunguu saumu kina allicin , kiambato ambacho husaidia mwili kuwa na mzinguko mzuri wa damu hadi kwenye viungo vya uzazi.
Kuwa na damu ya kutosha katika uume husababisha hiki kiungo kusimama na hivyo kustahimili tendo la ndoa kwa muda mrefu.
Jinsi ya kukitumia.
Asubuhi chukua punje nne hadi sita kisha meza kama unavyomeza vidonge kwa kusukumia maji au unaweza kutumia maziwa ya mtindi.... fanya hivyo pia kabla ya kulala.
N.B kitunguu saumu sishauri ukitumie kama wewe ni mgonjwa wa presha ya kushuka.
Pia kwa wanaume, ikiwa unahitaji kuwa unstoppable katika tendo la ndoa zingatia au ongezea hivi vitu kwenye ratiba yako ya siku ili uone utamu wa kuwa kidume zaidi
....View attachment 3225433