Mimi almaarufu madevu, huu uchebe wa vijana wa siku hii mimi basi imetosha

Mimi almaarufu madevu, huu uchebe wa vijana wa siku hii mimi basi imetosha

Doto12

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
640
Reaction score
1,141
Ufugaji wa ndevu ninaamini tuliuanza miaka kadhaa.

Kabla yetu walifuga wazee wetu. Nimeamua kukata na kuwa na kidecu na mdogo kama uch.i wa mbuzi. Kunyoa ndevu zote kunafanya unakuwa sura kama ya mbuzi. Mdogo na kidevu ndio kabsaaa.

Siku hzi vijana wameiga yaani inaboa na haivutii nahisi tangu demu wa zamani wa diamond alivyotoka na yule mmarekani midevu basi wabongo wanafuga midevu kama hawana akili, wengine wameenda mbali zaidi na sasa wanaweka kauchebe flan hivi.

Kwangu mie imetosha sasa. Doto12 Uch wa mbuzi inatosha
 
Ufugaji wa ndevu ninaamini tuliuanza miaka kadhaa.

Kabla yetu walifuga wazee wetu. Nimeamua kukata na kuwa na kidecu na mdogo kama uch.i wa mbuzi. Kunyoa ndevu zote kunafanya unakuwa sura kama ya mbuzi. Mdogo na kidevu ndio kabsaaa.

Siku hzi vijana wameiga yaani inaboa na haivutii nahisi tangu demu wa zamani wa diamond alivyotoka na yule mmarekani midevu basi wabongo wanafuga midevu kama hawana akili, wengine wameenda mbali zaidi na sasa wanaweka kauchebe flan hivi.

Kwangu mie imetosha sasa. Doto12 Uch wa mbuzi inatosha
What is this????
Are you mentally stable???!!???
I guess that you're mentally unstable, please may you seek the doctor's advice immediately.
 
Nimeelewa bandiko lako kwa tabu sana.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Back
Top Bottom