Mimi binafsi simuenzi Mwalimu Nyerere

Mimi binafsi simuenzi Mwalimu Nyerere

Unitman

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2021
Posts
511
Reaction score
671
Habari wadau.

Najua nitawaudhi wengi ila naomba tu Uhuru wa maoni uzingatiwe.Mwalimu Nyerere kitu kikubwa alichofanya ni kupigania Uhuru hapa namshukuru sana.

Baada ya Uhuru Nyerere akaturudisha kwenye ukoloni mpya mpaka leo hatujawahi kujitawala na bado mapambano ya kupata Uhuru yanaendelea.

Ndo maana utasikia Nyerere alijenga viwanda, viwanja vya mpira au utasikia Raisi Samia atoa billion 5 kufanya kitu fulani unajiuliza Samia ametoa wapi fedha.

Kwa hiyo wananchii hatuna sauti kwenye nchi yetu alafu unataka tumuenzi MWALIMU kwa kazi gani kwa sababu ata wakoloni walijenga miundombinu kibao Lakini tulitaka waondoke.

Kwa hiyo ata mabomba ya maji yakitoa maziwa huwezi kumsifu kiongozi iwapo anatawala yeye mwenyewe Sio kwa matakwa ya wananchii au misingi ya kidemokrasia atakuwa anapaka rangi upepo na historia haiwezi kumkumbuka.
 
Nyerere alikuwa anapiga Castle lager anashushia na Champagne na anapata utulivu mkubwa tu na kutema madini, ila vijana wa Sasa Castle light 4 tu mnaanza kutukana watu.
 

Attachments

  • IMG-20221014-WA0028.jpg
    IMG-20221014-WA0028.jpg
    46.1 KB · Views: 6
Una habari hata kipindi cha Nyerere kuna watu ambao hawakutaka kuondolewa kwa ukoloni?
Nadhani hao walikuwa babu zako. .

Ila hata kipindi cha Magufuli wakati anajitahidi kurekebisha mikataba ya madini ambayo serikali zilizopita iliingia bado kuna watu walianza kumpinga. Watu hao hao ndio walikuwa wanasimama majukwaani kipindi kile na kusema serikali imeingia mikataba mibovu ya madini. .

Ukimuenzi NYERERE hata usipomuenzi haitasaidia kitu kikubwa sana ni kuipenda Tanzania yako. .
 
Habari wadau.

Najua nitawaudhi wengi ila naomba tu Uhuru wa maoni uzingatiwe.Mwalimu Nyerere kitu kikubwa alichofanya ni kupigania Uhuru hapa namshukuru sana.

Baada ya Uhuru Nyerere akaturudisha kwenye ukoloni mpya mpaka leo hatujawahi kujitawala na bado mapambano ya kupata Uhuru yanaendelea.

Ndo maana utasikia Nyerere alijenga viwanda, viwanja vya mpira au utasikia Raisi Samia atoa billion 5 kufanya kitu fulani unajiuliza Samia ametoa wapi fedha.

Kwa hiyo wananchii hatuna sauti kwenye nchi yetu alafu unataka tumuenzi MWALIMU kwa kazi gani kwa sababu ata wakoloni walijenga miundombinu kibao Lakini tulitaka waondoke.

Kwa hiyo ata mabomba ya maji yakitoa maziwa huwezi kumsifu kiongozi iwapo anatawala yeye mwenyewe Sio kwa matakwa ya wananchii au misingi ya kidemokrasia atakuwa anapaka rangi upepo na historia haiwezi kumkumbuka.
Hujaeleweka bado! Hoja yako hasa nini? Kumuenzi mtu si kwa yooote aliyofanya maana hakuna ashiundaye vyooote! Anaenziwa kwa yale yaliyoleta kishindo maishani mwa Watz. na wewe unayafahamu fika.
 
Hujaeleweka bado! Hoja yako hasa nini? Kumuenzi mtu si kwa yooote aliyofanya maana hakuna ashiundaye vyooote! Anaenziwa kwa yale yaliyoleta kishindo maishani mwa Watz. na wewe unayafahamu fika.
ashiundaye ndio nini?
 
Wavaa kobazi nyerere sijui aliwafnaya nn ambacho wengine hatukukiona
 
Habari wadau.

Najua nitawaudhi wengi ila naomba tu Uhuru wa maoni uzingatiwe.Mwalimu Nyerere kitu kikubwa alichofanya ni kupigania Uhuru hapa namshukuru sana.

Baada ya Uhuru Nyerere akaturudisha kwenye ukoloni mpya mpaka leo hatujawahi kujitawala na bado mapambano ya kupata Uhuru yanaendelea.

Ndo maana utasikia Nyerere alijenga viwanda, viwanja vya mpira au utasikia Raisi Samia atoa billion 5 kufanya kitu fulani unajiuliza Samia ametoa wapi fedha.

Kwa hiyo wananchii hatuna sauti kwenye nchi yetu alafu unataka tumuenzi MWALIMU kwa kazi gani kwa sababu ata wakoloni walijenga miundombinu kibao Lakini tulitaka waondoke.

Kwa hiyo ata mabomba ya maji yakitoa maziwa huwezi kumsifu kiongozi iwapo anatawala yeye mwenyewe Sio kwa matakwa ya wananchii au misingi ya kidemokrasia atakuwa anapaka rangi upepo na historia haiwezi kumkumbuka.
Jamaa yangu weye ni "mkoroni" sana.Ishi upendavyo,Asikusumbue "mutu hohote"!😂😂😂😂
 
Hivi wakoloni wangeendelea kuwepo nini kibaya kingetokea?
Tena kuna uwezekano tungekuwa mbali sana
Tulifanya makosa makubwa sana kuwafukuza wazungu ndugu yangu. Angalia South Africa walivyonufaika na uwepo wa wale wadachi mpaka sasa. Tulichopaswa kupigania ni usawa tu na sio kuwafukuza na kuanza kujiongoza ilhali nafsi zetu zimejawa na nepotism, uchoyo na ubinafsi.

Laiti kama South Africans wangethubutu kuwafukuza wazungu, basi wangekuwa kama the rest of sub Saharan Africa.
 
Back
Top Bottom