Mimi G4N naomba kuteuliwa kuwa mwenezi. Nikiteuliwa tu, wanaccm wote wenye miaka 55+ nawafuta uanachama

Mimi G4N naomba kuteuliwa kuwa mwenezi. Nikiteuliwa tu, wanaccm wote wenye miaka 55+ nawafuta uanachama

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Sababu zangu ni hizi:-
1. Wamefikisha umri wa kustaafu, hivyo wakalee wajukuu zao.
2. Wanaziba nafasi za vijana.
3. Wao ndiyo wamelifikisha taifa hapa lilipo Sasa wanagombea ili iwe Nini tena?

Naitwa G4N naomba kuteuliwa kuwa katibu mwenezi.

Endapo nitateulowa nitafanya yafuatayo.:-
1. Nitaondoa wazee wote kwenye chama. Mwanachama hai anapaswa kuwa kati ya miaka 18 na 55 basi. Zaidi ya hapo aondoke. Hii itasaidia kutoa fursa kwa vijana wanaomaliza masomo yao kupata nyadhifa ktk chama.
2. Nitafuta mtindo wa mtu kuteuliwa tena baada ya kutenguliwa. Akitenguliwa mara moja tu basi hatokaa ateulowe tena maisha yake yote.
3. Wabunge wote wenye umri wa miaka 55 na kuendelea (umri wa kustaafu huu) wataachia nafasi zao na hawataruhusiwa kugombea tena.

Nipe I nafsi hii nieneze chama.
 

Na hapo hujavuta bangi bado, ukivuta si utakuwa hatari kama Fisi huko mtaani kwako?
 
Sababu zangu ni hizi:-
1. Wamefikisha umri wa kustaafu, hivyo wakalee wajukuu zao.
2. Wanaziba nafasi za vijana.
3. Wao ndiyo wamelifikisha taifa hapa lilipo Sasa wanagombea ili iwe Nini tena?

Naitwa G4N naomba kuteuliwa kuwa katibu mwenezi.

Endapo nitateulowa nitafanya yafuatayo.:-
1. Nitaondoa wazee wote kwenye chama. Mwanachama hai anapaswa kuwa kati ya miaka 28 na 55 basi. Zaidi ya hapo aondoke. Hii itasaidia kutoa fursa kwa vijana wanaomaliza masomo yao kupata nyadhifa ktk chama.
2. Nitafuta mtindo wa mtu kuteuliwa tena baada ya kutenguliwa. Akitenguliwa mara moja tu basi hatokaa ateulowe tena maisha yake yote.
3. Wabunge wote wenye umri wa miaka 55 na kuendelea (umri wa kustaafu huu) wataachia nafasi zao na hawataruhusiwa kugombea tena.

Nipe I nafsi hii nieneze chama.
Mkuu GN watakuloga
 
Mkuu inakera sana. Mkuchika amekuwemo serikalini tangu enzi za Nyerere lkn bado yumo tu
Hajajipanga watu kama wale unaweza kudhani ana Ukwasi ila siku anayostafu utashangaa tu hata miaka miwili hamalizi.
Wamezoea vya bure serikalini
 
  • Mshangao
Reactions: G4N
Sasa wewe unataka hata kustaafisha wafia chama mwenyekiti na makamu mwenyekiti. Unataka Wassira Warioba Msekwa Makamba Chenge na wazee walioingia ukubwani kama profesa majalala unawataka nini?
Huo utakua uhaini ndani ya chama
 
Njaa mbaya sana kila ukishindwa tatua matatizo waona sababu ni wazee vijana tupambane tuache law lawama na visingizio
 
Sababu zangu ni hizi:-
1. Wamefikisha umri wa kustaafu, hivyo wakalee wajukuu zao.
2. Wanaziba nafasi za vijana.
3. Wao ndiyo wamelifikisha taifa hapa lilipo Sasa wanagombea ili iwe Nini tena?

Naitwa G4N naomba kuteuliwa kuwa katibu mwenezi.

Endapo nitateulowa nitafanya yafuatayo.:-
1. Nitaondoa wazee wote kwenye chama. Mwanachama hai anapaswa kuwa kati ya miaka 28 na 55 basi. Zaidi ya hapo aondoke. Hii itasaidia kutoa fursa kwa vijana wanaomaliza masomo yao kupata nyadhifa ktk chama.
2. Nitafuta mtindo wa mtu kuteuliwa tena baada ya kutenguliwa. Akitenguliwa mara moja tu basi hatokaa ateulowe tena maisha yake yote.
3. Wabunge wote wenye umri wa miaka 55 na kuendelea (umri wa kustaafu huu) wataachia nafasi zao na hawataruhusiwa kugombea tena.

Nipe I nafsi hii nieneze chama.
Mimi ningeanza na WOWOWO...kabla haajaapishwa .... nawaruhusu chadema wamuambe makofi kabla ya sherehe
 
  • Kicheko
Reactions: G4N
Njaa mbaya sana kila ukishindwa tatua matatizo waona sababu ni wazee vijana tupambane tuache law lawama na visingizio
Tumekusikia mzee/ndugu wa mzee anayetumbua serikalini. Naona umepigwa na jiwe la gizani ukashindwa kuvumilia. Hii ndiyo JF.
 
Sababu zangu ni hizi:-
1. Wamefikisha umri wa kustaafu, hivyo wakalee wajukuu zao.
2. Wanaziba nafasi za vijana.
3. Wao ndiyo wamelifikisha taifa hapa lilipo Sasa wanagombea ili iwe Nini tena?

Naitwa G4N naomba kuteuliwa kuwa katibu mwenezi.

Endapo nitateulowa nitafanya yafuatayo.:-
1. Nitaondoa wazee wote kwenye chama. Mwanachama hai anapaswa kuwa kati ya miaka 28 na 55 basi. Zaidi ya hapo aondoke. Hii itasaidia kutoa fursa kwa vijana wanaomaliza masomo yao kupata nyadhifa ktk chama.
2. Nitafuta mtindo wa mtu kuteuliwa tena baada ya kutenguliwa. Akitenguliwa mara moja tu basi hatokaa ateulowe tena maisha yake yote.
3. Wabunge wote wenye umri wa miaka 55 na kuendelea (umri wa kustaafu huu) wataachia nafasi zao na hawataruhusiwa kugombea tena.

Nipe I nafsi hii nieneze chama.
Unataka kulishwa sumu au kulogwa ili ufe polepole ?
 
Sababu zangu ni hizi:-
1. Wamefikisha umri wa kustaafu, hivyo wakalee wajukuu zao.
2. Wanaziba nafasi za vijana.
3. Wao ndiyo wamelifikisha taifa hapa lilipo Sasa wanagombea ili iwe Nini tena?

Naitwa G4N naomba kuteuliwa kuwa katibu mwenezi.

Endapo nitateulowa nitafanya yafuatayo.:-
1. Nitaondoa wazee wote kwenye chama. Mwanachama hai anapaswa kuwa kati ya miaka 18 na 55 basi. Zaidi ya hapo aondoke. Hii itasaidia kutoa fursa kwa vijana wanaomaliza masomo yao kupata nyadhifa ktk chama.
2. Nitafuta mtindo wa mtu kuteuliwa tena baada ya kutenguliwa. Akitenguliwa mara moja tu basi hatokaa ateulowe tena maisha yake yote.
3. Wabunge wote wenye umri wa miaka 55 na kuendelea (umri wa kustaafu huu) wataachia nafasi zao na hawataruhusiwa kugombea tena.

Nipe I nafsi hii nieneze chama.
Utauwawa kwa kuziba mirija yao
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Back
Top Bottom