Mimi hunawa uso wangu kwa mkojo wa alfajiri ili kusafisha, kung'arisha nyota na kuongeza mvuto wa mapenzi

Mimi hunawa uso wangu kwa mkojo wa alfajiri ili kusafisha, kung'arisha nyota na kuongeza mvuto wa mapenzi

Huo ni ushirikina acha Mara moja huwezi kujisifu kwa kujipaka najisi kiasi hicho
 
Sijasoma ila mkuu wewe unatatizo la afya ya akili
 
Yani wewe ndio umedhihirisha ule usemi wa kuruka mkojo na kukanyaga mavi. Japo wewe umeufanya kinyume, umeanza na kupakwa mavi ukasafisha kwa mkoja.

Halafu maskini ya Mungu kuna viumbe wataamini, hasa wanawake na kuanza kukinga mikojo ya asubuhi. Halafu anakutana na njemba busy kupiga mabusu kumbe anabusu kojo
 
Haya ndio magonjwa ya akili tunayosema yanaongezeka kila uchao.

Sasa una nawaje mkojo jamani.
 
Ulipakwa mavi mkuu ukajiosha kwa mkojo???
Dunia ina vijimambo kwa kweli.

Japo siwezi kubisha wala kukubaliana nawe, ila naamin siwezi kubisha nisichokijua ila naweza kupinga kukikubali tu kama sijapata evidence za kutosha kunishawishi.

Kuna uzi wa maajabu ya chumvi ya mawe niliusoma humu JF baada ya kuusoma nilifanya tafiti zingine nikaridhika naku jaribu matokeo yake yalikuwa yakupendeza.
 
Kumbe sasa chumvi haifai inabidi kujiongeza,

Inaaminika kuwa huo huo mkojo wa asubuhi ni tiba ya maradhi kadhaa wa kadha.
 
Swalama ndugu zanguni?

Mpaka sasa zoezi la sensa linaendelea huku likisuasua, lakini msikate tamaa muda bado upo wa kurekebisha kasoro zilizopo.

Back to the topic, mimi ni mwanaume wa miaka 35, kwa kweli maisha yangu yalijawa kwa muda mrefu mikosi, ufukara, kukataliwa na kutokuwa na kibali.

Nilichukua uamuzi wa kuacha pombe, nikafunga kula na kunywa kwa siku tatu usiku na mchana.

Nikiwa kwenye siku ya mwisho ya mfungo wangu nikapata maono kuwa sura yangu imepakwa kinyesi kizito cha wanadamu na hivyo ili kumaliza nguvu ya kinyesi hicho na uchawi niliotupiwa ni lazima niwe nanawa sura yangu kwa mkojo wa alfajiri huku nikikuia, nyota yangu waka kama jua, mikosi tuweka nk.

Kwa kweli baada ya kufanya hivyo kwa siku 21 nimeona mabadiliko makubwa sana. Waliokuwa wananidharau sasa wananiheshimu, wanawake waliokuwa wananikataa sasa wanajitongozesha wenyewe, pia pesa napata sana, napewa dili kuliko ilivyowahi kutokea kwenye maisha yangu.

Nakusihi na wewe mwenzangu ambaye una matangitango, tumia njia hii nayo mambo yako yatanyooka.
Bora wewe unanawa kuna jamaa alikua anakunywa kabisa mkojo wake 🤣
 
Back
Top Bottom