Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Bongo mazuzu hawaishiKina watu wataanza tiba kesho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bongo mazuzu hawaishiKina watu wataanza tiba kesho.
Tiba mbadala nzuri sanaBora wewe unanawa kuna jamaa alikua anakunywa kabisa mkojo wake 🤣
Sawa. Nimekupenda ghaflaHyo Avatar yako inachekesha
NakuogopaaSawa. Nimekupenda ghafla
Nona special cup, nukinga naunawa kisha nasafisha kikombe na kukihifadhi mahali pakavu na pasafi kwa ajili ya kukitumia tena keshoHaya ndio magonjwa ya akili tunayosema yanaongezeka kila uchao.
Sasa una nawaje mkojo jamani.
Usiniogope, ufundishe moyo wako kunikubaliNakuogopaa
HhahahahaUsiniogope, ufundishe moyo wako kunikubali
Wangapi wameshafukuzwa? Nina zaidi ya miaka kumi mahali hapaUnatakiwa kufukuzwa JF kwa kuandika hivi
Mkojo wa mlevi ni mzuri sana kwenye kusafisha figoNa sisi walevi amna mkojo mwingine tofauti na wetu tunawie
Nakupenda. Unaonaje next full moon nikupeleke Zanzibar?Hhahahaha
Haichekeshi nilipatwa na kwikwi ndani ya siku mbili kipindi nafanya kilimo cha vitunguu huko karatu, just imagine kwikwi siku mbili mfululizo.Bora wewe unanawa kuna jamaa alikua anakunywa kabisa mkojo wake 🤣
Kua mstaarabu kidogo yeyw kasema hayo kwa maono yake mjibu yeye kama yeye hayo maswala ya kukashifu majina ya Mwenyezmungu unaleta udini kua na nidham kuheshim dini zote kila mmoja anaabudu kwa anavoona yeye na Mwenyezmungu ni mmoja tu aloumba ardhi mbingu na kutuumba sisi sasa usiwe unakufuru hivyo kijanaKwahyo allah ndo kakuambia unawe nabmkojo ipo siku huyo allah wako atakuambia utanuliwe marinda ili ufankiwe na utakubali na ndo mwanzo wa ww kula dozi bila mapumziko
Kuna watu wapumbavu sana rudi kusoma wapi kamtaja AllahKwahyo allah ndo kakuambia unawe nabmkojo ipo siku huyo allah wako atakuambia utanuliwe marinda ili ufankiwe na utakubali na ndo mwanzo wa ww kula dozi bila mapumziko