Mimi huyo tarehe 13 july 2024😁

Tungekuwa wageni kwenye hizo ndoa tusingashangaa.
Kwenye ndoa sio pa kushangia na kufurahia hivyo mleta mada.
Sema na moyo wako
Hata kama ndoa ni utapeli , kutusongea maugali na kuomba michango ni utapeli ndani ya utapeli.
Kwani nimeandika Uzi WA kuomba mchango mahi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…