Arch Barrel
JF-Expert Member
- Feb 1, 2024
- 434
- 1,126
Dah! 7M?Ni ndogo sana , yeye si ndio aliepiga Teka akavunja mlango🙄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! 7M?Ni ndogo sana , yeye si ndio aliepiga Teka akavunja mlango🙄
Aliyewaloga❌Huwazi jinsi gani utailea familia yako(ndoa yako) unachowaza ni sherehe. Sijui aliyewaloga ni nani.
Aliyewaloga✅️Aliyewaloga❌
Aliyewaroga✅
Hata kama ndoa ni utapeli , kutusongea maugali na kuomba michango ni utapeli ndani ya utapeli.Naomba mchango wako WA Hali na Mali.
Hata mimi nilimshangaa ila niliona labda mimi ni kilaza kwa sababu wengi husema kurogwaAliyewaloga✅️
Aliyewaroga❌️
Rudi kwa mwalimu wako uanze upya.
Mkuu,Hata kama ndoa ni utapeli , kutusongea maugali na kuomba michango ni utapeli ndani ya utapeli.
Baba acha ubishi😂Aliyewaloga✅️
Aliyewaroga❌️
Rudi kwa mwalimu wako uanze upya.
Wengi sana wanasema kuroga na hawajui kuwa sio sawa.Hata mimi nilimshangaa ila niliona labda mimi ni kilaza kwa sababu wengi husema kurogwa
Kaka mkubwa bado sina pesa ya kutunza mke na mimi .Mkuu,
Fanya basi uhalalishe, usiogope sana maisha ndio haya haya.
Sema na moyo wakoTungekuwa wageni kwenye hizo ndoa tusingashangaa.
Kwenye ndoa sio pa kushangia na kufurahia hivyo mleta mada.
Kwani nimeandika Uzi WA kuomba mchango mahi?Hata kama ndoa ni utapeli , kutusongea maugali na kuomba michango ni utapeli ndani ya utapeli.
Nimeenda kwenye kamusi ni kuroga na sio kulogaHata kama ndoa ni utapeli , kutusongea maugali na kuomba michango ni utapeli ndani ya utapeli.
Nilisoma kipindi kiswahili hakijaharibiwa binti yangu. Hapa mjini "kuroga" ndio kiswahili mnatumia, ila wengine tulifundishwa "kuloga" miaka hiyo.Baba acha ubishi😂
Uwe unasema ujavuta jiko huna hela na sio useme ndoa ni utapeliKaka mkubwa bado sina pesa ya kutunza mke na mimi .
Bora uombe michango kuliko kutualika ugali, kama chakula ni ugali vinywaji siitakuwa unatukorogea juice cola? Wewe ni mpare?Sema na moyo wako
Kwani nimeandika Uzi WA kuomba mchango mahi?
Kwahiyo umetapeliwa?Nakubali chifu
Nakutana na hii changamoto ninapowarekebisha wazee tu😂Nilisoma kipindi kiswahili hakijaharibiwa binti yangu. Hapa mjini "kuroga" ndio kiswahili mnatumia, ila wengine tulifundishwa "kuloga" miaka hiyo.