ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Nimelia sana😂Upo sahihi neno loga limetoholewa kwenye neno ulozi na sio urozi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimelia sana😂Upo sahihi neno loga limetoholewa kwenye neno ulozi na sio urozi.
Asante mkuu,Upo sahihi neno loga limetoholewa kwenye neno ulozi na sio urozi.
Umeelewa????🤣🤣Nimelia sana😂
😂 usilie wameshatuharibia hadi kiswahili chetuNimelia sana😂
Sijawahi kuwa kataa ndoa mkuu.Asante mkuu,
Sasa ujitoe kwenye kataa ndoa🤣🤣
Ndio baba🤸Umeelewa????🤣🤣
Wataenda wote tutabaki wote mimi na wewe tuanzishe kizazi safi kisicho na uasi .Hapa Yesu akirudi wakisema wenye hela hata shillingi 50 anaenda Mbinguni mimi mtaniacha
Kwahiyo ni waongo wa kiwango cha SGR?nakutania bhn mm nipo ndoani 🤣
Amin usiamin vijana wa kataa ndoa wameoa woote
Tuzidi kujifunza!Ndio baba🤸
Aisee! Natamani niwafukuze hata sasa hivi tubaki zetuWataenda wote tutabaki wote mimi na wewe tuanzishe kizazi safi kisicho na uasi .
Umetukana kama petro ,kabla jogoo hajawika😄Sijawahi kuwa kataa ndoa mkuu.
Wewe ni role model wangu ila kuna mda unakua wa hovyo mkuu😂😂😂Kaka nini bro sema tu 😄
Hahahha mkuu role model wa kitu gani ?Wewe ni role model wangu ila kuna mda unakua wa hovyo mkuu😂😂😂
Wa mambo unayofanya humu jf kabisa naona ww ni mtu na heshima zake mkuu..😂😂😂Hahahha mkuu role model wa kitu gani ?
Astaghfirullah ✅Astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah play safe mkuu 😂 😂
Ni kweli mimi naheshimu kila mtu ila mimi kuwa na heshima umebuni tu mkuu😄Wa mambo unayofanya humu jf kabisa naona ww ni mtu na heshima zake mkuu..😂😂😂
Tafuta comment yangu yeyote niliyowahi sema "kataa ndoa, ndoa ni utapeli"😅Umetukana kama petro ,kabla jogoo hajawika😄