Mimi Mars: The Most Underrated Tanzanian Female Arstist

Uyu itakua zama za akina otis redding 😀😀😀
Atakuwa ajuza kabisa. Kuna mtu alisikia sijui wakati wimbo gani unatoka nilikuwa kidato cha pili akasema kumbe mkuu wewe mkubwa hivi, nikamwambia jf uwa unaweza tukanwa na kukosewa heshama hata na mwanao akidhani msela tu
 
Atakuwa ajuza kabisa. Kuna mtu alisikia sijui wakati wimbo gani unatoka nilikuwa kidato cha pili akasema kumbe mkuu wewe mkubwa hivi, nikamwambia jf uwa unaweza tukanwa na kukosewa heshama hata na mwanao akidhani msela tu
Ukiniita ajuza una nikosea bro. Mbona nime kuuliza kistaarabu tu?
 
Huyu msanii nyimbo zake huwa hazina feelings ukizisikiliza hivyo ajitahidi kuweka feelings kwenye tungo zake
 
Nyimbo zake za papara na sitamani nazipenda Sana.Huyu dada anajua kuimba si utani
 
No kweli hajui anafosifosi tu,anajaribu kutembelea nyota ya dada....kwanza Hana swagger za V....Ila kwa uzuri Aisee bonge moja ya pisi ya kwenda.
Kama havumi ina mana hajui , wala msilete mbwembwe , kama kujulikana anajulikana vzur tuuu , kilichopo ni uwezo mdogo , poor management , na sometime kuwa na magroup
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…