Mimi Mwarabu na sielewi kwanini ulimwengu hauwezi kukubali maumivu ya Kiyahudi

Hawaya
Hakuna upuuzi,,bali huna uwezo wa kijibu maswali yangu.
Waislamu wooote hawana uwezo wa kujibu maswali.
Ndio maana wana mihemuko na lugha zisizofaa.
Watu wenye akili hawawezi kubishana ntandaoni.
Hawana muda wa kutaka kujijulisha.
Ukiona mtu ana quote mistari ya qur. Kama reference ya kushinda hoja, achana nae..
 
Waislamu,,,na waarabu wanafundishwa na mungu wao propaganda dhidi ya wakrsto na wayahudi.
LAKINI BAHATI MBAYA ALLAH MUARABU HANA NGUVU KUMZIDI YEHOVA MYAHUDI.
NB: HII IPO MIAKA ZAIDI YA 1700 MPAKA LEO ALLAH KASHINDWA KUPOTEZA KIZAZI CHA WAYAHUDI
 
Kitabu kipi cha Old Testament kimeandikwa na Solomon?

Vitabu vyote vitano vya Old Testament vimeandikwa na Moses.
Mkuu kwani old statement ina vitabu vingapi???
Habakuki kaandika moses??
Daniel kaandika moses?
Solomon song's kaandika moses???
Kwa uchache tu???
 
Chuma hiki...
 
Hawaya
Watu wenye akili hawawezi kubishana ntandaoni.
Hawana muda wa kutaka kujijulisha.
Ukiona mtu ana quote mistari ya qur. Kama reference ya kushinda hoja, achana nae..
Mkuu acha unafiki wa hoja mtambuko.
Wewe hoja zako unataka watu wazisikilize,,
But ukiulizwa maswali unakimbia🤣😂😂
 
Waislamu,,,na waarabu wanafundishwa na mungu wao propaganda dhidi ya wakrsto na wayahudi.
LAKINI BAHATI MBAYA ALLAH MUARABU HANA NGUVU KUMZIDI YEHOVA MYAHUDI.
NB: HII IPO MIAKA ZAIDI YA 1700 MPAKA LEO ALLAH KASHINDWA KUPOTEZA KIZAZI CHA WAYAHUDI
Unaonaje uislamu unavyokua.. ...
Ungeanza siku moja na ukristo ingekuwaje🤣
 
Hawaya
Watu wenye akili hawawezi kubishana ntandaoni.
Hawana muda wa kutaka kujijulisha.
Ukiona mtu ana quote mistari ya qur. Kama reference ya kushinda hoja, achana nae..
Mkuu kwa hiyo ulitaka tusi quote mistari ya Biblia na Qur'an?
 
Mkuu kwani old statement ina vitabu vingapi???
Habakuki kaandika moses??
Daniel kaandika moses?
Solomon song's kaandika moses???
Kwa uchache tu???



Unachanganya mambo hivyo vote vipo humo na aliekusanya na kuviweka kwenye Old Testament ni Moses.

Na hizo zote ni tales zilizokuwepo kabla ya hata hivyo vitabu vya dini.
 
Unaonaje uislamu unavyokua.. ...
Ungeanza siku moja na ukristo ingekuwaje🤣
Hakuna uislamu unaokua mkuu.
Acha kujifariji.
Kinachokua duniani ni watu kujielewa na kupenda mambo ya nje ya imani za dini.
UISLAMU WA KIARABU UMEKOPI UKRSTO WA KIYAHUDI.
 
Hakuna uislamu unaokua mkuu.
Acha kujifariji.
Kinachokua duniani ni watu kujielewa na kupenda mambo ya nje ya imani za dini.
UISLAMU WA KIARABU UMEKOPI UKRSTO WA KIYAHUDI.
Hata hilo hujui!!!!!....
Hujui idadi ya kukua kwa uislamu dunia??
 
Labda Mwarabu koko
 
Waislamu,,,na waarabu wanafundishwa na mungu wao propaganda dhidi ya wakrsto na wayahudi.
LAKINI BAHATI MBAYA ALLAH MUARABU HANA NGUVU KUMZIDI YEHOVA MYAHUDI.
NB: HII IPO MIAKA ZAIDI YA 1700 MPAKA LEO ALLAH KASHINDWA KUPOTEZA KIZAZI CHA WAYAHUDI
ALLAH hafabani na chochote, huyo mwingine kama myahudi sijui..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…