Mimi Mwarabu na sielewi kwanini ulimwengu hauwezi kukubali maumivu ya Kiyahudi

Waislamu wanakula ngamia, Sungura na pweza. Wayahudi hawali hivyo vitu.
 
Waarabu achaneni ugaidi mtauwaw a wote duniani.Heshimuni dunia
 
Tatizo la wayahudi ni ukatili mwingi. Walimuua Yesu ndugu yao wa damu hawawezi kushindwa kumuua mwarabu fulani kutoka Gaza.

Na mauaji ya Yesu ambaye alifufuka baada ya siku tatu, yaliwaachia laana itakayowatesa mpaka mwisho wa nyakati.
 
Wako wapi sasa hivi?
Hamna indigenous hapo, waulize makaburi ya babu zao, wote wako Poland, Argentina, Ukraine, Russia, Slovakia etc etc

Haya makabila ya biblical times siyo hawa. Ujue 00 AD Yesu anazaliwa hadi 570 AD ndiyo kaja Mohamed hapo katikati vita ngapi zilipigwa Makabila kwa makabila? Palikua na Judaism na Christianity. Hata hawa waislam walikuwa hawapo. Waingereza waliwashinda Ottoman na kuchukua pande la ardhi kuwa koloni lao yaani Palestine, waarabu wayahudi waliishi hapo inasemekana hata wayunani na warumi. Wakimbizi waliotokea ulaya kwa kukimbia prosecution Ulaya ndiyo wakakaribishwa na waingereza, waingereza walianza kuwa weak kwa kuwa walikuwa hawana pesa ikabidi koloni waliachie kwa wayahudi koko siyo indigenous. Hawa wakabagua wakawafukuza makabila mengine yaani waarabu, wakristu etc etc

Ndugu zao ulaya, americas, kote duniani waliruhusiwa kurudi. Ujue UN na US ndiyo walikuwa wababe UN, i948 Israel ilianzishwa. Kura zote za waarabu zilipinga, nakumbuka na nchi nyingine tatu mojawapo ilikuwa India. Ikapitishwa. Sasa chukulia biblical times hadi leo. Hapo kuna BC na AD, je zama za agano la kale?
Indigenous Jews wala hawafanani na hawa wa sasa.

Unaweza ukashangaa kumbe hawa mnaopiga ndiyo kuna wayahudi au mchanganyiko
 
Waislamu wanakula ngamia, Sungura na pweza. Wayahudi hawali hivyo vitu.
Ndugu nenda kafanye Research vizuri Abrahamic religions uone how Jews and Islam; taratibu zao zinavyofanana na kwanini holy sites zao zipo Jerusalem (ni story ndefu, na kwakweli mambo ya dini zaidi ya kujifunza kwa maslahi yangu Binafsi sio mijadala of interest kwangu).

Sio kila kitu cha Jews na Islam ni sawa ila wanafanana sana na Islam kuliko Christianity kuanzia kwenye kutoa sadaka za wanyama mpaka nyama wanayokula nani kachinja.

Jews ni rich nchi za ulaya, butcher zao za kosher wachinjaji ni waisalamu tu.

Yote hayo kujua mzuzu wake inabidi uelewe mwanzo wa maandishi ya vitabu vya dini mpaka vilipo; ndio uelewe kwa nini ukristo una masanamu na kwa Jews na Islam hayo mambo hawataki hata kusikia.

Ni hivi sidhani wengi wenu kama mmesoma historia ya Christianity kwa kina mkaielewa; salaleh hiyo dini ukiijua kutandazwa kwake unyama waliotenda usifanye mchezo.

To end this discussion I believe in the spiritual world (because of personal experience) so kila mtu aamini anachotaka.

But then we all have one shot in this life kushabikia unnecessary loss of lives of innocent people kwa misingi ya dini regardless of your belief huo ni ujinga uliopitiliza.

Binafsi siwezi support unyanyasaji au mauaji ya binadamu kutokana na rangi yake, dini yake, ethnicity, Kabila or any other discrimination factor.

Na yeyote anae support mambo hayo kwangu ni mtu wa hovyo, especially MK254 sijui kwanini mods awampi ban hilo rijitu la hovyo kweli.

Good morning 👋
 
Hata hapa Tanzania Wachinjaji ni Waislamu
 

Hapo Watu wanachotaka ni ardhi. Mwenye nguvu ndiye atamiliki.
Kwenye hii dunia hakuna anayemiliki isipokuwa mwenye Nguvu.
Na UMILIKI ni wa muda tuu
 

Hapo Watu wanachotaka ni ardhi. Mwenye nguvu ndiye atamiliki.
Kwenye hii dunia hakuna anayemiliki isipokuwa mwenye Nguvu.
Na UMILIKI ni wa muda tuu
 
Mayahudi ni majitu makatili tu. Na ndiyo maana hayaoni aibu kuua wanawake na watoto mchana kweupe kwa mabomu, kwa kigezo cha kushambuliwa na Hamas.
Nani alinzisha Vita? Wale waliouwawa na Hamasi walikuwa Mbwa? Hata Mtanzania Mwenzetu Hamas wamemua bila Huruma wakat yeye siyo Mhayahudi. Ogopa Watu wanaovaa Mabovu na kukilipia katikati ya Watu wasio na hatia wala Silaha. Hamas
 
Na hii hesabu ni Kwa miaka miwili pamoja na mashambulizi makubwa sana tunayoyaona pale, lkn Israel siku 30 washakuja zaidi ya raia 12 elfu.

Your comment plz
hii vita ikifika mwaka wapalestina watakufa milion. na itakuwa funzo kwa uchokozi na kusema alah akbar wakati wakuua.
 
Mayahudi ni majitu makatili tu. Na ndiyo maana hayaoni aibu kuua wanawake na watoto mchana kweupe kwa mabomu, kwa kigezo cha kushambuliwa na Hamas.
Waarabu (Hamas) hawakuuwa na kuteka wanawake na watoto wa Kiyaudi wakati wa uvamzi wao? Au wao walichagu aliyestahili kuuwawa? Huyu Mwarabu aliyeandika hii makala, kaandika hali halisi ya kinachotokea Mashariki ya kati. Sisi wengine tunayumbishwa na propaganda za kiarabu na wengine mihemuko ya udini.
 
Nani alinzisha Vita? Wale waliouwawa na Hamasi walikuwa Mbwa? Hata Mtanzania Mwenzetu Hamas wamemua bila Huruma wakat yeye siyo Mhayahudi. Ogopa Watu wanaovaa Mabovu na kukilipia katikati ya Watu wasio na hatia wala Silaha. Hamas
Chanzo cha mgogoro kati ya Palestina na hao Israel ulianza mwaka 1948, baada ya hao Waisrael kujitangazia uhuru ndani hao wenyeji wao walioitwa Wapalestina. Kabla ya hapo, hilo eneo lilikuwa ni tulivu.
 
Mimi siyumbishwi na propaganda wala mihemko ya dini. Mimi ni mtu ninayeamini katika haki na usawa kwa binadamu wote. Siyo mtu ninayependa uonevu, au ukandamizaji kwa watu wa tabaka fulani.

Waisrael kwa miaka nenda wamekuwa wakiwaonea na kuwakandamiza Wapalestina, kwa sababu tu ni watoto kipenzi wa Marekani na nchi za Magharibi.

Hivyo na Wapalestina nao wana haki ya kujitetea.
 
Wanapambana kwa kuwa hawjifuchi kwa watu raia, Hamas inatumia raia kujificha, ili uwafikie lazima uuwe raia
 
Yeah, nakuunga mkono sana.. ndomaana ukichunguza vifo vingi vitokanavyo na vita ya Ukraine ni wanajeshi raia wachache sana.

Lkn Israel haijamaliza hata siku 40 washakuja raia zaidi ya elfu kumi na mbili.
Hakuna vita inayobagua. Vifo vinavyosabishwa na vita ya Ukraine ni sawa tu na vile vya Palestina. Tofauti ni propaganda za vyombo vya habari vya Kiarabu. Alafu kwann Hamas wajifiche nyuma ya wanawake na watoto baada ya kulianzisha?
 
Tatizo lenu wengi hamna uelewa juu ya chanzo halisi cha huo mgogoro kati ya Wapelestina na hao wanaojiita Waisrael.

Je, unafahamu kuna Wapalestina zaidi ya 4500 kwenye jela za Israel, na ambao wengi wao wanashikiliwa kwa uonevu? Je, ni haki kwa hao Waisrael kuwaua na kuwafunga Wapalestina pasipokuwa na sababu za msingi?

Sasa kama ulikuwa hufahamu, basi hiyo ndiyo sababu ya hao Hamas kuwashikilia hao mateka. Lengo ni kutaka ndugu zao wanaoteswa kwenye jela za hao Mayahudi, kuachiliwa kwa kubadilishana.

Hivyo binafsi ninawaunga mkono Wapalestina. Maana wakati fulani haki inaweza isipatikane, isipokuwa kwa ncha ya upanga.
 
Sawa, Sasa niambie, hao Wayaud wakaishi wapi kama pale hawatakiwi? Tatizo ni Waarabu kutokutaka amani kwa kujiona wao ndiyo wenye haki ktk eneo lile, na mpango wao wa kutaka kuwaangamiza Waisrael wote. Hakutapatikana amani kama kila upande utashikilia msimamo wake.

Swala la mataifa ya magharibi kuwa upande wa Israel sioni tatizo kama ambavyo mataifa ya kiarabu na karibu Waislam wote kote duniani wapo upande wa Palestina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…