TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
Bwana Yesu asifiwe watu Mungu.
Mimi na mama mchungaji Joannah Katika majadiliano yetu ya kukabiliana na hali ya uchumi,tumeonelea tuanzishe Biashara ya Kanisa ili nasi tujipatie kipato kizuri kama wafanyavyo wapambanaji wengine.
Haikuwa kazi rahisi kulifikiria hili suala ila namshuku Mungu mambo yameenda vizuri.Kanisa letu litakuwa maeneo ya Gongo la mboto kwasababu tulifanya utafiti tukagundua kwa upande ule hakuna kanisa kubwa na la kwetu ndilo litakuwa la kwanza.
Mama mchungaji Joannah alipendekeza ya kwamba ni vema tukaajiri pia wadau humu ndani ili tushirikiane kupiga pesa na kuwaibia watanzania.
Mapendekezo yake ni kama ifuatavyo:-
Kiongozi mkuu wa Kanisa na Nabii TUKANA UONE
Katibu wa kanisa
1. Bujibuji Simba Nyamaume
Wazee wa Kanisa
1. Mpwayungu Village
2. Pascal Mayalla
Mashemasi
1. Robert Heriel Mtibeli
2. Missy Gf
3. DR HAYA LAND
4. Raymanu KE
5. Da'Vinci
Watu wa Mapambo kila siku ya Ibada
1. amadala
2. KENGE 01
3. scolastika
4. Smart AJ
Msimamizi wa Muziki
1. mshamba_hachekwi
Mkuu wa Kitengo cha maombezi
dronedrake
Mkuu wa kuleta watu wa miujiza(Huyu kazi yake itakuwa kuwapa mafunzo namna ya kuigiza wameponywa na Nabii mkuu)
keisangora
Mkuu wa kitengo cha Mapishi kwa Viongozi
FaizaFoxy
Mkuu wa Logistics
Evelyn Salt
Mkuu wa wakusanyaji wa takataka ndani na nje ya kanisa
Chizi Maarifa
Mtu maalumu atakayepewa kazi maalumu
Mshana Jr
Mkuu wa kuhakikisha Vyoo na Mabafu yana maji muda wote
GENTAMYCINE
Mimi kama nabii mkuu na Mtume nitahakikisha kabla hatujaanza kuvuna sadaka za waumini nitakuwa natoa fedha yangu mfukoni na kuwawezesha nyooote,hivyo suala la malipo ondoeni shaka.
Nadhani tutakutana wikiendi hii twende kutembelea eneo la mradi husika.
Ndimi kiongozi wenu mkuu tukanauone@gmail.com
Mimi na mama mchungaji Joannah Katika majadiliano yetu ya kukabiliana na hali ya uchumi,tumeonelea tuanzishe Biashara ya Kanisa ili nasi tujipatie kipato kizuri kama wafanyavyo wapambanaji wengine.
Haikuwa kazi rahisi kulifikiria hili suala ila namshuku Mungu mambo yameenda vizuri.Kanisa letu litakuwa maeneo ya Gongo la mboto kwasababu tulifanya utafiti tukagundua kwa upande ule hakuna kanisa kubwa na la kwetu ndilo litakuwa la kwanza.
Mama mchungaji Joannah alipendekeza ya kwamba ni vema tukaajiri pia wadau humu ndani ili tushirikiane kupiga pesa na kuwaibia watanzania.
Mapendekezo yake ni kama ifuatavyo:-
Kiongozi mkuu wa Kanisa na Nabii TUKANA UONE
Katibu wa kanisa
1. Bujibuji Simba Nyamaume
Wazee wa Kanisa
1. Mpwayungu Village
2. Pascal Mayalla
Mashemasi
1. Robert Heriel Mtibeli
2. Missy Gf
3. DR HAYA LAND
4. Raymanu KE
5. Da'Vinci
Watu wa Mapambo kila siku ya Ibada
1. amadala
2. KENGE 01
3. scolastika
4. Smart AJ
Msimamizi wa Muziki
1. mshamba_hachekwi
Mkuu wa Kitengo cha maombezi
dronedrake
Mkuu wa kuleta watu wa miujiza(Huyu kazi yake itakuwa kuwapa mafunzo namna ya kuigiza wameponywa na Nabii mkuu)
keisangora
Mkuu wa kitengo cha Mapishi kwa Viongozi
FaizaFoxy
Mkuu wa Logistics
Evelyn Salt
Mkuu wa wakusanyaji wa takataka ndani na nje ya kanisa
Chizi Maarifa
Mtu maalumu atakayepewa kazi maalumu
Mshana Jr
Mkuu wa kuhakikisha Vyoo na Mabafu yana maji muda wote
GENTAMYCINE
Mimi kama nabii mkuu na Mtume nitahakikisha kabla hatujaanza kuvuna sadaka za waumini nitakuwa natoa fedha yangu mfukoni na kuwawezesha nyooote,hivyo suala la malipo ondoeni shaka.
Nadhani tutakutana wikiendi hii twende kutembelea eneo la mradi husika.
Ndimi kiongozi wenu mkuu tukanauone@gmail.com