Mimi na Joannah tunatarajia kufungua Kanisa hivi karibuni ili kukabiliana na hii hali ya Uchumi

Mimi na Joannah tunatarajia kufungua Kanisa hivi karibuni ili kukabiliana na hii hali ya Uchumi

TUKANA UONE

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2018
Posts
2,345
Reaction score
6,970
Bwana Yesu asifiwe watu Mungu.


Mimi na mama mchungaji Joannah Katika majadiliano yetu ya kukabiliana na hali ya uchumi,tumeonelea tuanzishe Biashara ya Kanisa ili nasi tujipatie kipato kizuri kama wafanyavyo wapambanaji wengine.

Haikuwa kazi rahisi kulifikiria hili suala ila namshuku Mungu mambo yameenda vizuri.Kanisa letu litakuwa maeneo ya Gongo la mboto kwasababu tulifanya utafiti tukagundua kwa upande ule hakuna kanisa kubwa na la kwetu ndilo litakuwa la kwanza.

Mama mchungaji Joannah alipendekeza ya kwamba ni vema tukaajiri pia wadau humu ndani ili tushirikiane kupiga pesa na kuwaibia watanzania.

Mapendekezo yake ni kama ifuatavyo:-

Kiongozi mkuu wa Kanisa na Nabii TUKANA UONE

Katibu wa kanisa

1. Bujibuji Simba Nyamaume

Wazee wa Kanisa

1. Mpwayungu Village
2. Pascal Mayalla

Mashemasi

1. Robert Heriel Mtibeli
2. Missy Gf
3. DR HAYA LAND
4. Raymanu KE
5. Da'Vinci

Watu wa Mapambo kila siku ya Ibada

1. amadala
2. KENGE 01
3. scolastika
4. Smart AJ

Msimamizi wa Muziki

1. mshamba_hachekwi

Mkuu wa Kitengo cha maombezi

dronedrake

Mkuu wa kuleta watu wa miujiza(Huyu kazi yake itakuwa kuwapa mafunzo namna ya kuigiza wameponywa na Nabii mkuu)

keisangora

Mkuu wa kitengo cha Mapishi kwa Viongozi

FaizaFoxy

Mkuu wa Logistics

Evelyn Salt

Mkuu wa wakusanyaji wa takataka ndani na nje ya kanisa

Chizi Maarifa


Mtu maalumu atakayepewa kazi maalumu

Mshana Jr


Mkuu wa kuhakikisha Vyoo na Mabafu yana maji muda wote

GENTAMYCINE


Mimi kama nabii mkuu na Mtume nitahakikisha kabla hatujaanza kuvuna sadaka za waumini nitakuwa natoa fedha yangu mfukoni na kuwawezesha nyooote,hivyo suala la malipo ondoeni shaka.

Nadhani tutakutana wikiendi hii twende kutembelea eneo la mradi husika.

Ndimi kiongozi wenu mkuu tukanauone@gmail.com
 
Usinisahau kiongozi wa maombezi(private) kwa jinsia ya KE pekee yao.

Mimi ndio nitahakikisha maombezi kwa jinsia hiyo yanaenda sawia

Natumai ombi litakubaliwa.
 
Umefanya nipande Juu kuangalia Kichwa cha Jukwaa.

Ingekuwa upo serious, kesho saa 4 asubuhi tungekuwa hapo Kanisani kwako kukusanya Kodi yetu, maana sisi ndiyo Watoza Ushuru tuliompokea Zakayo kazi ya kukusanya Ushuru 🤪

Kila la kheri Mkuu 🤗
 
Yote mazuri ila usije tombya wake za watu kama wafanyavyo manabii wengine wa mchongo.
 
Umefanya nipande Juu kuangalia Kichwa cha Jukwaa.

Ingekuwa upo serious, kesho saa 4 asubuhi tungekuwa hapo Kanisani kwako kukusanya Kodi yetu, maana sisi ndiyo Watoza Ushuru tuliompokea Zakayo kazi ya kukusanya Ushuru 🤪

Kila la kheri Mkuu 🤗
🤣
 
Bwana Yesu asifiwe watu Mungu.


Mimi na mama mchungaji Joannah Katika majadiliano yetu ya kukabiliana na hali ya uchumi,tumeonelea tuanzishe Biashara ya Kanisa ili nasi tujipatie kipato kizuri kama wafanyavyo wapambanaji wengine.

Haikuwa kazi rahisi kulifikiria hili suala ila namshuku Mungu mambo yameenda vizuri.Kanisa letu litakuwa maeneo ya Gongo la mboto kwasababu tulifanya utafiti tukagundua kwa upande ule hakuna kanisa kubwa na la kwetu ndilo litakuwa la kwanza.

Mama mchungaji Joannah alipendekeza ya kwamba ni vema tukaajiri pia wadau humu ndani ili tushirikiane kupiga pesa na kuwaibia watanzania.

Mapendekezo yake ni kama ifuatavyo:-

Kiongozi mkuu wa Kanisa na Nabii TUKANA UONE

Katibu wa kanisa

1. Bujibuji Simba Nyamaume

Wazee wa Kanisa

1. Mpwayungu Village
2. Pascal Mayalla

Mashemasi

1. Robert Heriel Mtibeli
2. Missy Gf
3. DR HAYA LAND
4. Raymanu KE
5. Da'Vinci

Watu wa Mapambo kila siku ya Ibada

1. amadala
2. KENGE 01
3. scolastika
4. Smart AJ

Msimamizi wa Muziki

1. mshamba_hachekwi

Mkuu wa Kitengo cha maombezi

dronedrake

Mkuu wa kuleta watu wa miujiza(Huyu kazi yake itakuwa kuwapa mafunzo namna ya kuigiza wameponywa na Nabii mkuu)

keisangora

Mkuu wa kitengo cha Mapishi kwa Viongozi

FaizaFoxy

Mkuu wa Logistics

Evelyn Salt

Mkuu wa wakusanyaji wa takataka ndani na nje ya kanisa

Chizi Maarifa


Mtu maalumu atakayepewa kazi maalumu

Mshana Jr


Mkuu wa kuhakikisha Vyoo na Mabafu yana maji muda wote

GENTAMYCINE


Mimi kama nabii mkuu na Mtume nitahakikisha kabla hatujaanza kuvuna sadaka za waumini nitakuwa natoa fedha yangu mfukoni na kuwawezesha nyooote,hivyo suala la malipo ondoeni shaka.

Nadhani tutakutana wikiendi hii twende kutembelea eneo la mradi husika.

Ndimi kiongozi wenu mkuu tukanauone@gmail.com
Hili si Kanisa ila danguro.
 
Back
Top Bottom