Mimi na Joannah tunatarajia kufungua Kanisa hivi karibuni ili kukabiliana na hii hali ya Uchumi

Mimi na Joannah tunatarajia kufungua Kanisa hivi karibuni ili kukabiliana na hii hali ya Uchumi

Bwana Yesu asifiwe watu Mungu.


Mimi na mama mchungaji Joannah Katika majadiliano yetu ya kukabiliana na hali ya uchumi,tumeonelea tuanzishe Biashara ya Kanisa ili nasi tujipatie kipato kizuri kama wafanyavyo wapambanaji wengine.

Haikuwa kazi rahisi kulifikiria hili suala ila namshuku Mungu mambo yameenda vizuri.Kanisa letu litakuwa maeneo ya Gongo la mboto kwasababu tulifanya utafiti tukagundua kwa upande ule hakuna kanisa kubwa na la kwetu ndilo litakuwa la kwanza.

Mama mchungaji Joannah alipendekeza ya kwamba ni vema tukaajiri pia wadau humu ndani ili tushirikiane kupiga pesa na kuwaibia watanzania.

Mapendekezo yake ni kama ifuatavyo:-

Kiongozi mkuu wa Kanisa na Nabii TUKANA UONE

Katibu wa kanisa

1. Bujibuji Simba Nyamaume

Wazee wa Kanisa

1. Mpwayungu Village
2. Pascal Mayalla

Mashemasi

1. Robert Heriel Mtibeli
2. Missy Gf
3. DR HAYA LAND
4. Raymanu KE
5. Da'Vinci

Watu wa Mapambo kila siku ya Ibada

1. amadala
2. KENGE 01
3. scolastika
4. Smart AJ

Msimamizi wa Muziki

1. mshamba_hachekwi

Mkuu wa Kitengo cha maombezi

dronedrake

Mkuu wa kuleta watu wa miujiza(Huyu kazi yake itakuwa kuwapa mafunzo namna ya kuigiza wameponywa na Nabii mkuu)

keisangora

Mkuu wa kitengo cha Mapishi kwa Viongozi

FaizaFoxy

Mkuu wa Logistics

Evelyn Salt

Mkuu wa wakusanyaji wa takataka ndani na nje ya kanisa

Chizi Maarifa


Mtu maalumu atakayepewa kazi maalumu

Mshana Jr


Mkuu wa kuhakikisha Vyoo na Mabafu yana maji muda wote

GENTAMYCINE


Mimi kama nabii mkuu na Mtume nitahakikisha kabla hatujaanza kuvuna sadaka za waumini nitakuwa natoa fedha yangu mfukoni na kuwawezesha nyooote,hivyo suala la malipo ondoeni shaka.

Nadhani tutakutana wikiendi hii twende kutembelea eneo la mradi husika.

Ndimi kiongozi wenu mkuu tukanauone@gmail.com
Why kanisa not msikiti,,


Acha mazoea na dini za watu
 
Bwana Yesu asifiwe watu Mungu.


Mimi na mama mchungaji Joannah Katika majadiliano yetu ya kukabiliana na hali ya uchumi,tumeonelea tuanzishe Biashara ya Kanisa ili nasi tujipatie kipato kizuri kama wafanyavyo wapambanaji wengine.

Haikuwa kazi rahisi kulifikiria hili suala ila namshuku Mungu mambo yameenda vizuri.Kanisa letu litakuwa maeneo ya Gongo la mboto kwasababu tulifanya utafiti tukagundua kwa upande ule hakuna kanisa kubwa na la kwetu ndilo litakuwa la kwanza.

Mama mchungaji Joannah alipendekeza ya kwamba ni vema tukaajiri pia wadau humu ndani ili tushirikiane kupiga pesa na kuwaibia watanzania.

Mapendekezo yake ni kama ifuatavyo:-

Kiongozi mkuu wa Kanisa na Nabii TUKANA UONE

Katibu wa kanisa

1. Bujibuji Simba Nyamaume

Wazee wa Kanisa

1. Mpwayungu Village
2. Pascal Mayalla

Mashemasi

1. Robert Heriel Mtibeli
2. Missy Gf
3. DR HAYA LAND
4. Raymanu KE
5. Da'Vinci

Watu wa Mapambo kila siku ya Ibada

1. amadala
2. KENGE 01
3. scolastika
4. Smart AJ

Msimamizi wa Muziki

1. mshamba_hachekwi

Mkuu wa Kitengo cha maombezi

dronedrake

Mkuu wa kuleta watu wa miujiza(Huyu kazi yake itakuwa kuwapa mafunzo namna ya kuigiza wameponywa na Nabii mkuu)

keisangora

Mkuu wa kitengo cha Mapishi kwa Viongozi

FaizaFoxy

Mkuu wa Logistics

Evelyn Salt

Mkuu wa wakusanyaji wa takataka ndani na nje ya kanisa

Chizi Maarifa


Mtu maalumu atakayepewa kazi maalumu

Mshana Jr


Mkuu wa kuhakikisha Vyoo na Mabafu yana maji muda wote

GENTAMYCINE


Mimi kama nabii mkuu na Mtume nitahakikisha kabla hatujaanza kuvuna sadaka za waumini nitakuwa natoa fedha yangu mfukoni na kuwawezesha nyooote,hivyo suala la malipo ondoeni shaka.

Nadhani tutakutana wikiendi hii twende kutembelea eneo la mradi husika.

Ndimi kiongozi wenu mkuu tukanauone@gmail.com
Mie section ya kitimoto siitaki. Nipeni kitengo cha wajinga ndiyo waliwao.
 
Bwana Yesu asifiwe watu Mungu.


Mimi na mama mchungaji Joannah Katika majadiliano yetu ya kukabiliana na hali ya uchumi,tumeonelea tuanzishe Biashara ya Kanisa ili nasi tujipatie kipato kizuri kama wafanyavyo wapambanaji wengine.

Haikuwa kazi rahisi kulifikiria hili suala ila namshuku Mungu mambo yameenda vizuri.Kanisa letu litakuwa maeneo ya Gongo la mboto kwasababu tulifanya utafiti tukagundua kwa upande ule hakuna kanisa kubwa na la kwetu ndilo litakuwa la kwanza.

Mama mchungaji Joannah alipendekeza ya kwamba ni vema tukaajiri pia wadau humu ndani ili tushirikiane kupiga pesa na kuwaibia watanzania.

Mapendekezo yake ni kama ifuatavyo:-

Kiongozi mkuu wa Kanisa na Nabii TUKANA UONE

Katibu wa kanisa

1. Bujibuji Simba Nyamaume

Wazee wa Kanisa

1. Mpwayungu Village
2. Pascal Mayalla

Mashemasi

1. Robert Heriel Mtibeli
2. Missy Gf
3. DR HAYA LAND
4. Raymanu KE
5. Da'Vinci

Watu wa Mapambo kila siku ya Ibada

1. amadala
2. KENGE 01
3. scolastika
4. Smart AJ

Msimamizi wa Muziki

1. mshamba_hachekwi

Mkuu wa Kitengo cha maombezi

dronedrake

Mkuu wa kuleta watu wa miujiza(Huyu kazi yake itakuwa kuwapa mafunzo namna ya kuigiza wameponywa na Nabii mkuu)

keisangora

Mkuu wa kitengo cha Mapishi kwa Viongozi

FaizaFoxy

Mkuu wa Logistics

Evelyn Salt

Mkuu wa wakusanyaji wa takataka ndani na nje ya kanisa

Chizi Maarifa


Mtu maalumu atakayepewa kazi maalumu

Mshana Jr


Mkuu wa kuhakikisha Vyoo na Mabafu yana maji muda wote

GENTAMYCINE


Mimi kama nabii mkuu na Mtume nitahakikisha kabla hatujaanza kuvuna sadaka za waumini nitakuwa natoa fedha yangu mfukoni na kuwawezesha nyooote,hivyo suala la malipo ondoeni shaka.

Nadhani tutakutana wikiendi hii twende kutembelea eneo la mradi husika.

Ndimi kiongozi wenu mkuu tukanauone@gmail.com
kwahiyo kutakua hakuna mafuta wala maji ya upako?
Chumvi, leso na keki nani atasimia hilo? Hakikisha skafu na mikanda ya mabegani inatosha

Kuna huyu nanihiii Mzee wa kufofokafoka na kunena kwa lugha
 
Bwana Yesu asifiwe watu Mungu.


Mimi na mama mchungaji Joannah Katika majadiliano yetu ya kukabiliana na hali ya uchumi,tumeonelea tuanzishe Biashara ya Kanisa ili nasi tujipatie kipato kizuri kama wafanyavyo wapambanaji wengine.

Haikuwa kazi rahisi kulifikiria hili suala ila namshuku Mungu mambo yameenda vizuri.Kanisa letu litakuwa maeneo ya Gongo la mboto kwasababu tulifanya utafiti tukagundua kwa upande ule hakuna kanisa kubwa na la kwetu ndilo litakuwa la kwanza.

Mama mchungaji Joannah alipendekeza ya kwamba ni vema tukaajiri pia wadau humu ndani ili tushirikiane kupiga pesa na kuwaibia watanzania.

Mapendekezo yake ni kama ifuatavyo:-

Kiongozi mkuu wa Kanisa na Nabii TUKANA UONE

Katibu wa kanisa

1. Bujibuji Simba Nyamaume

Wazee wa Kanisa

1. Mpwayungu Village
2. Pascal Mayalla

Mashemasi

1. Robert Heriel Mtibeli
2. Missy Gf
3. DR HAYA LAND
4. Raymanu KE
5. Da'Vinci

Watu wa Mapambo kila siku ya Ibada

1. amadala
2. KENGE 01
3. scolastika
4. Smart AJ

Msimamizi wa Muziki

1. mshamba_hachekwi

Mkuu wa Kitengo cha maombezi

dronedrake

Mkuu wa kuleta watu wa miujiza(Huyu kazi yake itakuwa kuwapa mafunzo namna ya kuigiza wameponywa na Nabii mkuu)

keisangora

Mkuu wa kitengo cha Mapishi kwa Viongozi

FaizaFoxy

Mkuu wa Logistics

Evelyn Salt

Mkuu wa wakusanyaji wa takataka ndani na nje ya kanisa

Chizi Maarifa


Mtu maalumu atakayepewa kazi maalumu

Mshana Jr


Mkuu wa kuhakikisha Vyoo na Mabafu yana maji muda wote

GENTAMYCINE


Mimi kama nabii mkuu na Mtume nitahakikisha kabla hatujaanza kuvuna sadaka za waumini nitakuwa natoa fedha yangu mfukoni na kuwawezesha nyooote,hivyo suala la malipo ondoeni shaka.

Nadhani tutakutana wikiendi hii twende kutembelea eneo la mradi husika.

Ndimi kiongozi wenu mkuu tukanauone@gmail.com
Moderators wameiona hii?
Hii ni Kashfa na udhalilishaji wa imani za watu
Moderator
 
Kwa kanisa ya hivyo, wacha mungu acheke msemo wa rose muhando,
anyway mm nitakuwa mpiga vyombo
 
Kinachonishangaza moderator wanafutaga nyuzi za maana na kuacha nyuzi za ajabu kama hizi.
Si wapuuzi wapuuzi hao. Huu mtandao ni wa kifreemason na ni wa kiwakala wa Kipepo ndio maana nyuzi zinazoashiria humu kula tunda masihara, kupiga punyeto, ushoga na ulawiti, udhalilishaji wa wanawake,kuudhalilisha Ukristo, mizaha na uongo, uchawi, kutukana Ukristo, kupinga uwepo wa Mungu ndio nyuzi pendwa za Moderators. Pumbavu kabisa hawa.
 
Mathayo 12:31

Kwa sababu hiyo nawaambieni,Watu watasamehewa dhambi na kufuru zao zote,lakini hawatasamehewa dhambi ya KUMKUFURU roho mtakatifu.

Mimi ni mkristo niliyezaliwa na wazazi wakristo,nimepigwa chapa ya msalaba kukiri Mimi ni mfuasi wa Yesu Kristo,nitamkiri Kristo bila aibu popote, mpaka pale kunywa changu kitapofunga.

Hivyo basi Kwa Haya maandiko Yako,nasikitika kusema umenikosea sana,Fanya upuuzi wako wote ila kwenye masuala ya kiimani please naomba usihusishe ID yangu Kwa namna yeyote Ile.....

Galatians 6:7
Msidanganyike ,Mungu HADHIHAKIWI Kwa kuwa chochote apandacho Mungu ndicho atakachovuna

Ulipoamua kufanya dhihaka zako hukuwa na sababu ya kuniandika Id yangu,sipo hapa Kumdhihaki Mungu nimtumainiye ,Pumzi,vicheko furaha vyote vyatoka kwake,wewe kama umeelewa kiburi Cha uzima sikukatazi kuandika ulichoandika ila Kwa heshima na taadhima tafadhali naomba Edit,na ufute ID yangu

Endapo utakaidi kufuta,Damu yangu iwe mikononi mwako.


Asante.
Muhuri umepigwa sehemu gani?
 
Back
Top Bottom