Mimi na mke wangu mapenzi yetu ya kizungu waswahili wanaona wivu

Mimi na mke wangu mapenzi yetu ya kizungu waswahili wanaona wivu

Hopefull atafanya zaidi ya huyu ila hawezi fungua uzi wa mambo haya
😂😂Kwa kweli asifungue tu uzi kwa hilo. Lkn kama anakufanyia zaidi nampongeza sana maana wanaume wengine ni visirani hata kuvaa na kuvua soksi za viatu hadi afanyiwe na mkewe tena kibabe!
 
😂😂Kwa kweli asifungue tu uzi kwa hilo. Lkn kama anakufanyia zaidi nampongeza sana maana wanaume wengine ni visirani hata kuvaa na kuvua soksi za viatu hadi afanyiwe na mkewe tena kibabe!
Wewe je upo upande gani kati ya hizo mbili
 
Wewe je upo upande gani kati ya
Mm si muumini kabisa wa mfumo dume! Naamini sana kwenye ushirikiano wa kazi kwenye familia. Mtoa mada ingikuwa kawaida yake kufanya hayo asingesema jumapili hii nataka.........
 
kama mnavyojua mke wangu kwa sasa mjamzito sasa nikaamua kumuwekea bili ya maziwa anywe kila siku asubuhi na jioni
lakini mke wangu amenikataza nisiwe nakunywa ayo maziwa anasema eti nikinywa homoni ya ostrojeni itaongezeka mwilini mwangu nitakuwa kama mwanamke
 
Back
Top Bottom