Mimi na mke wangu mapenzi yetu ya kizungu waswahili wanaona wivu

Nenda kajiandikishe bwana kwenye daftari....zimeongezwa siku
 
Alokwambia mapenz ya kizungu kutembea hadharan wananyonyana denda nan acha ubwege wewe mzungu kwanza angetoka kitaan na ndinga without hi akija na gar get linafinguliwa ndani huo ni ndo uzungu we unakaa chumba kimoja tandale unasema mzngu baba mwenye nyuma akiludai hela ya umeme unarudi night kali
 
Subir uchapiwe
 
Lazima akushike matak* mbele ya waendesha boda boda
 
Jiachie kaka, ndio mkeo huyo, waache wafe kwa presha wengine
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa hiyo na mkeo hua saa nyingine anavaa vichupi bila nguo nyingine na kutembea barabarani huku umemshika makalio
 
Kama mnavyojua mke wangu kwa sasa ni mjamzito

sasa ntahakikisha mtoto anayezaliwa anasoma feza kuanzia nursery primary.mpaka form six
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…